njoo kwetu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 801
- 1,795
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... Na timba fast hapoNgoja pakuche nikutumie location mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... Na timba fast hapoNgoja pakuche nikutumie location mkuu
Kama unajihisi mpweke ama upo bored au unahamu ya kuchati na wasiofahamika na wanaofahamika!,hapa ndo mahala pake,njoo tupunguze stress,upweke,tucheke na tulie pia!.
Say hi to everyone and every time we will be there.
We chat..
Hello jf..?
mfano GBPCHF.. hii pair ina GBP sawa, GBP ina interest rate kubwa kuliko CHF.. kwa tabia ya wawekezaji wanawekeza kitu chenye faida na sio hasara, hapo GBP ina faida kwa muwekezaji hata uki buy hiyo pair broker lazima akulipe wale.. sema mie mzito kuandika acha nikiss kwanza mtoto aende kazini. pitia hizo concept ila fanya sana RM ndio tatizo la wengiAisee namimi nakomaa zaidi mpaka kieleweke,mi nitaenda misri nikaone ma the mummy..😂
Mkuu fanya soft copy za vitabu au niandikie hata majina nitatafuta.
Hi to everybody known,Sina urafiki na wasiojulikana😄😄😄😄Kama unajihisi mpweke ama upo bored au unahamu ya kuchati na wasiofahamika na wanaofahamika!,hapa ndo mahala pake,njoo tupunguze stress,upweke,tucheke na tulie pia!.
Say hi to everyone and every time we will be there.
We chat..
Hello jf..?
Jifunze VIX S&P 500 ina drive pair na namna gani inafanya kazi mkuu.. usi trade sana bila kujua how VIX inafanya kazi.. utakuja shindana na sokoAisee namimi nakomaa zaidi mpaka kieleweke,mi nitaenda misri nikaone ma the mummy..😂
Mkuu fanya soft copy za vitabu au niandikie hata majina nitatafuta.
Nafanya ila kwa shemeji yako tuVipi kuhusu masaji,unafanya pia..?
Nzuriii hii.View attachment 2129775
Anyone who remember this movie..? Character gani alikuvutia zaidi..? Binafsi monalisa na ndio mpaka sasa amebaki kuwa muigizaji bora wakike ninaemkubali..
View attachment 2129776
Kweli Chakorii ntu ya tafrani sanaMkuu nakupa dada yangu chakorii umtulize anazidi kuleta tafrani nyumbani tu..😂
Nasubiri mkuu..😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mic u moaaahHi ladies and gentlemen [emoji8]
Ahsante mkuu.. we mchumu tu..😂mfano GBPCHF.. hii pair ina GBP sawa, GBP ina interest rate kubwa kuliko CHF.. kwa tabia ya wawekezaji wanawekeza kitu chenye faida na sio hasara, hapo GBP ina faida kwa muwekezaji hata uki buy hiyo pair broker lazima akulipe wale.. sema mie mzito kuandika acha nikiss kwanza mtoto aende kazini. pitia hizo concept ila fanya sana RM ndio tatizo la wengi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah wee cc lolEmbu niache ninenepe ovyo ..Cha ubavu my tz11...
Nimejichungulia sioni shipa..[emoji848]embuu shipa si hua mnalo wanaume kwa jina lingine busha au!!!
VIX imebeba kila kitu na nina weza ku prove.. forex ina run nyuma ya hiyo VIXThanks ndugu kwa madini..
🤣🤣🤣🤣🤣 Kaka unanichimbaSijakuambia unifanyie kuwa na adabu hujui mi Kaka yako takudunda..😂
Tatizo ukute namashemeji watatu..🤣