ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Mkwe ebu kua na msimamo! Mwanamke ni bahari au sio?Huu ujumbe, ila sipo sirias saana.
Naomba umtunze saana mwanangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkwe ebu kua na msimamo! Mwanamke ni bahari au sio?Huu ujumbe, ila sipo sirias saana.
Naomba umtunze saana mwanangu.
Mke ni Kama bahariMkwe ebu kua na msimamo! Mwanamke ni bahari au sio?
Ndio maana nakukubali🤸Mke ni Kama bahari
Sjanywa mbege leo mdogo wangu sijui kaka yangu sijui baba ,
😁😁 sio rahisi kuwa baba , kaka wala mdogo kwako , unakunywa mbege kwani ni wk leo?😁😁😁😁😁.Sjanywa mbege leo mdogo wangu sijui kaka yangu sijui baba ,
Heee weekend tu ndio ya kunywa mataputapu sio mi nakunywa kila siku mdogo wangu wa mwisho😁😁 sio rahisi kuwa baba , kaka wala mdogo kwako , unakuja mbege leo kwani ni wk leo?😁😁😁😁😁.
Siwezi kuwa mdogo wala mkubwa kwako ma urassa😁.Heee weekend tu ndio ya kunywa mataputapu sio mi nakunywa kila siku mdogo wangu wa mwisho
😘😘😘Ndio maana nakukubali🤸
😁😁🤣Leo ndio nimejua kumbe JF kuna watu ni maboya sana. Hivi inakuwaje unapenda show off za mambo yaliyo nje ya uwezo wako? Na mpaka mtu anapost picha ambayo sio yake, lengo ni nini? Hajikubali au?
Upumbavu first grade huu.
Mwenzako napenda amani, ugomvi hata siwezi..!Naona wale walikuwa wanaleta uswahili jana wamefutiwa vijimaneno Yao humu 😁🤣
Ukiona mtu mkorofi muweke ignore list dada yangu au report kwa mods si umeona jana wale wapiga kelele walivyofanywa 😁🤣Mwenzako napenda amani, ugomvi hata siwezi..!
SawaUkiona mtu mkorofi muweke ignore list dada yangu au report kwa mods si umeona jana wale wapiga kelele walivyofanywa 😁🤣
Humu Kuna watu wana matatizo sana yaani 😂😁Sawa
Ila wengine hawanaHumu Kuna watu wana matatizo sana yaani 😂😁
Ndio si umeona jana mwenyewe yule mwanaume anae jifanya ni 😂😁Ila wengine hawana