Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chaiinakula ubwabwa nawewe...😅
Thriller is best since 1982 to datehaya kibwengo nae kaliunga
View attachment 3045503
Hii ukinywa bila kupata mbususu hautoboi hiiyenye alkasusu..
na ndio album iliyouzwa zaidi mpaka sasa hakuna iliyofikia!,ukisikia kazi ya ufundi stadi ndio kama hii sasa acha hao wa uswahilini wanatikisa makalio tu ubunifu hakuna!,wakibuni wengine wanawaita freemason!Thriller is best since 1982 to date
Kwamba utapanda mnazi mkuu Mimi Kuna siku nililia hii balaaa nilipaka kitu afu mtoto akasema aimama sijiiii nilikomami natoboa mimi ni fundi wakutoboa kwenye maeneo nyeti...😎
Unamaanisha bila kunywa alkasusu shoo upigi?🤔Kwamba utapanda mnazi mkuu Mimi Kuna siku nililia hii balaaa nilipaka kitu afu mtoto akasema aimama sijiiii nilikoma
Hamna naweka fresh hiyo nilitaka kumkomoa demu mmoja HiviUnamaanisha bila kunywa alkasusu shoo upigi?🤔
Hapo sawa! Nikadhani hadi utumie booster nilitaka nikupe dawa konkiHamna naweka fresh hiyo nilitaka kumkomoa demu mmoja Hivi
Asante.Weka kwenye maji
Zinakaa hata wiki 2Asante.
Afu Leo nimekula ndizi mshale mixer utumbo 😎Aaliyyah unajua jinsi ya kutunza ndizi mshale ndani zikae wiki bila kuiva?
Hiyo dawa si itafanya isiwake Kabisa 😂Hapo sawa! Nikadhani hadi utumie booster nilitaka nikupe dawa konki
Ulinunua au mamiloo kakupikiaAfu Leo nimekula ndizi mshale mixer utumbo 😎
Hapana! Hii dawa itafanya uwe ngangariiHiyo dawa si itafanya isiwake Kabisa 😂
Ulinunua au mamiloo kakupikia
Hapana! Hii dawa itafanya uwe ngangarii