ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Ananiita mbuzi bila sababu🥹🥹🥹🥹🥹Onyo zako sio nzuri sana sijapenda 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ananiita mbuzi bila sababu🥹🥹🥹🥹🥹Onyo zako sio nzuri sana sijapenda 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Labda maisha ndio yakate tamaa na mimi😁😁😁Kila siku pombee! Umekata tamaa ya maisha?
Asa hata nikikuomba tu inbox hutakiNisikuone
Labda maisha ndio yakate tamaa na mimi😁😁😁Kila siku pombee! Umekata tamaa ya maisha?
Pole sanaAnaniita mbuzi bila sababu🥹🥹🥹🥹🥹
Wewe umeenda kujiliza kwa modes pambana mwenyewe na wakutoe damu kabisaa.!! 😂😂😂Wakili nitetee vijana wananisambazia tuhuma za uwongo
Kwani lazima kuja pm? Maghayo aliniletea matatizoAsa hata nikikuomba tu inbox hutaki
😁🤣Kwani lazima kuja pm? Maghayo aliniletea matatizo
🐐Pole sana
Lionel Messi
Amekujaa hadi kwangu kunipiga OnyoooWewe umeenda kujiliza kwa modes pambana mwenyewe na wakutoe damu kabisaa.!! 😂😂😂
Mi nakutetea naonekana mkorofi, ila leo Bahati yako namuheshimu Payge lasivyo ungelala umechoka.!! 😹😹
Wakili nitetee usiondokeWewe umeenda kujiliza kwa modes pambana mwenyewe na wakutoe damu kabisaa.!! 😂😂😂
Mi nakutetea naonekana mkorofi, ila leo Bahati yako namuheshimu Payge lasivyo ungelala umechoka.!! 😹😹
So unamtetea sio? Na mods wamefuta😂😂Watu wa moshi huwa hatukosei asee kama hauna mudi nzuri potezea tu 😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣 Bahati yake angelala kachokaAmekujaa hadi kwangu kunipiga Onyooo
Uduguuu, mie naendaa kulalaaaa.
Nimeogopaa hatareeee, 😂😂😂😂😂😂
No simtetei ila ndio tupo hivyo , wala hakuna tatizo 😊So unamtetea sio? Na mods wamefuta😂😂
Ila enzo🙌 kwahiyo umetulainisha wote hapa na kesi imeisha😂Wakili wangu kaondoka na mie nasepa
Huyu manzi ananiletea uwaki dingilaiWatu wa moshi huwa hatukosei asee kama hauna mudi nzuri potezea tu 😁😁😁😁
Wewe bila modes hutoboi umeamini?? 🤣🤣🤣Wakili nitetee usiondoke