Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Sawa,nasubiri mawasiliano ya mchumbaImepitaa iyoooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa,nasubiri mawasiliano ya mchumbaImepitaa iyoooo
Nakupa now 😂😂😂Sawa,nasubiri mawasiliano ya mchumba
Mapigo yangu ya moyo yanasimama nikikuona wewe sitaki mchumba mwinginePoa vipi umepata mchumba?
K ndo dini gani..?umri 36
Dini K
Kazi Benki
Nahitaj girl umri 18-26
Dini yyte
Kazi sio lazima
Hapo ongea na mshamba_hachekwi akupe dada yake wa njiro 😎😎😎Natafuta mchumba nipo lonely hapa maeneo ya unga limited
Hayo ndio mambo sasa kijana, Hana tabia ya ujangili?Nakupa now 😂😂😂
Nakupa now 😂😂😂
Njiro nipo maeneo ya themi suitesHapo ongea na mshamba_hachekwi akupe dada yake wa njiro 😎😎😎
😂😂😂kuna watu wakisoma ID yangu wanapata kihindihindi ama hakika kila shetani na mbuyu wakeMapigo yangu ya moyo yanasimama nikikuona wewe sitaki mchumba mwingine
Sio plural???Nimekumbuka kitu.
Niko singular.
Hayo ndio mambo sasa kijana, Hana tabia ya ujangili?
Namaanisha kuwa nataka mbebez wa kuwowa.Sio plural???