JF Chit: Chat hapa upate mchumba

JF Chit: Chat hapa upate mchumba

🤣🤣🤣🤣sikuwa napatikana kwa njia gani
Hongera mkuu wafupi wamuta
Kwa njia zote za mawasiliano, napokea hongera hizi kwa moyo mkunjufu 😅.

Hapo mwisho umemaanisha watamu "wamuta"? Kumbe na wewe una kababaa kafupi?
7107e39455826617dc52990548df0a00.png
 
Back
Top Bottom