Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiombwi hivyoTwende kazi
Hata kama ni mke wa mtu? Maana nahisi ameolewa 🤔Leo mtag unayetamani awe mchumba wako hapa alafu mwambie maneno mazuri.
Akikijibu vizuri endelea nae huwezi jua ya Mungu mengi. Tag wengu kadiri uwezavyo
Twende kazi
Mkuu hizo sijazikosa 😁Haiombwi hivyo japo anaweza kukuhurumia km rafiki akakupa
Umemuwahi Vincenzo JrNinaempenda ni ephen_ kama rafiki yangu tu wala sihitaji kua na uchumba nae🤗
Kila nikisoma msg yako nacheka sana atoto😁😁😁 nakataa mimi sio shindikanaaaaa😊Shindikana acha kujitetea, haiombwi hivyo😀
Naunga mkono hojaHivi unajuaje kama ni wa kike??
Mhm tafuta pesa broUmemuwahi Vincenzo Jr
Shindikanaa.Kila nikisoma msg yako nacheka sana atoto😁😁😁 nakataa mimi sio shindikanaaaaa😊