Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Unajikazia mwenyewe sio 😂"Nakazia"
Hii kali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajikazia mwenyewe sio 😂"Nakazia"
😂😂😂Unajikazia mwenyewe sio 😂
Hii kali
Ila kweli mahusiano ni usumbufu usumbufu aisee🚮😂 mambo yenye usumbufu usumbufu na mimi ni kama mafuta na maji, licha ya hivyo najali sana.
Si hamtakagi ma nice guy 😂
Nakazia🤣Ila kweli mahusiano ni usumbufu usumbufu aisee🚮
Kalikuwaga kataa ndoa haka kajamaaKuna comment naitafuta nikiipata itakua magoli
Min me alicomment zamani akiwashangaa watu wanaopenda humu watu wasiowajua
Mi sitafuti mkuu😂😂😂
Nyie tafuteni tu wachumba ipo mtaingia sehemu ambapo hapatokeki
Kila kitu kataa ndoa sijui kawaje! Eti sasa hivi anamendea kina toyeye😂Kalikuwaga kataa ndoa haka kajaa
...yaan ulikuwa humwambii kitu...kifua mbelee
Tatizo lako huwa unalaumu mno ,ndio maana huwa nanyamza tu😆Wapi hao??
Muelewe mwenzio tafadhali, kuna maisha baada ya uchaguzi 2025.Kuna comment naitafuta nikiipata itakua magoli
Min me alicomment zamani akiwashangaa watu wanaopenda humu watu wasiowajua
🤣🤣🤣Kabadilika sanaKila kitu kataa ndoa sijui kawaje! Eti sasa hivi anamendea kina toyeye😂
Asikudanganye mtu , yale ni maneno ya mkosaji tu😁Kila kitu kataa ndoa sijui kawaje! Eti sasa hivi anamendea kina toyeye😂
Tena ya humu ndio kabisa usijichanganye, utajuta. Ila friendly mechi fresh.Ila kweli mahusiano ni usumbufu usumbufu aisee🚮
Nyie ndio mnakuza mambo! Yeye hajasema loloteMuelewe mwenzio tafadhali, kuna maisha baada ya uchaguzi 2025.
🤣🤣🤣 Walioserious wapo Ila hawajui wanachokitakaTena ya humu ndio kabisa usijichanganye, utajuta. Ila friendly mechi fresh.
We mwendo umeumaliza ngoja damu changa tuingie kazini ukiona uzi wa kula epo kimasihara ume-pop jua kabs kimeumanaMi sitafuti mkuu
Leo mmekuwa mabubu ghafla😂 mnanifurahisha nyie watoto hebu mniache nina kazi nyingi mjuemim nitanyamaza
Wivu naona mm 😏Etugrul Bey fanya Mambo bas laaziz😘😘
🤣🤣🤣 We mtag yeyote kitaeleweka mbele kwa mbeleWivu naona mm 😏
Na hawezi sema ila kuna namna haiitaji hata uwe na D mbili kuelewa.Nyie ndio mnakuza mambo! Yeye hajasema lolote