Kama mapenzi ya humu yamekushinda wewe, mimi ndo nitayawezaNa hawezi sema ila kuna namna haiitaji hata uwe na D mbili kuelewa.
ππ wewe sema kajamaaKalikuwaga kataa ndoa haka kajamaa
...yaan ulikuwa humwambii kitu...kifua mbelee
π mwendo bado sana kuumaliza kaka.We mwendo umeumaliza ngoja damu changa tuingie kazini ukiona uzi wa kula epo kimasihara ume-pop jua kabs kimeumana
π€ππ wewe sema kajamaa
Ukimaanisha nini ππ€£π€£π€£ Walioserious wapo Ila hawajui wanachokitaka
Yaan kuoa anataka au kuolewa anataka Ila akijitokeza aliyeserious hamtaki anaendelea kuchaguachagua jf....mwisho wa siku anakutana na kivuruge...then anarudi kutulaani wote humu jfUkimaanisha nini π
Sasa na hivyo ndivyo mapenzi yalivyo, unachagua chagua na kubagua wale sahihi mpaka pale utakapompata mwenye maumivu yako πYaan kuoa anataka au kuolewa anataka Ila akijitokeza aliyeserious hamtaki anaendelea kuchaguachagua jf....mwisho wa siku anakutana na kivuruge...then anarudi kutulaani wote humu jf
Inasikitisha Sana aiseeβΉοΈSasa na hivyo ndivyo mapenzi yalivyo, unachagua chagua na kubagua wale sahihi mpaka pale utakapompata mwenye maumivu yako π
Hapana sina kipengele humu ndani muulize hata Ms R π , wasabato hawadanganyi.Kumbe unazungukaaa ila kuna id ushajiweka
Lazima upate unachokitafutaInasikitisha Sana aiseeβΉοΈ
Wewe ulimpataga huyu depal??Tena ya humu ndio kabisa usijichanganye, utajuta. Ila friendly mechi fresh.
Kuna mzee mmoja maarufu sana pale kariakoo huwa ndio michongo yake hii... mtaa wa muhonda na ndanda ndio huwa anapatikana sanaππChaguaneni, ila ikitokea mtu anahitaji ndugu wa kukodi ili aende nao ukweni, Niko hapa ποΈ
Unamaanisha nini To yeye muacheni ana danga lake hakosi kitu tena ni ana nyota 3 jeshini mtishie sasa imeisha hiyoLazima upate unachokitafuta
Tutakufukuza kwenye huu uzi na friji lako lisilogandishaWewe ulimpataga huyu depal??
Unanisema vibaya haya ila mie timu ephen_ Utake usitakeTutakufukuza kwenye huu uzi na friji lako lisilogandisha
Utapataje bila kuomba!Huu uzi ukifika page ya 30 sijapata mke ,itakua nina matatizo ππ
Hongera zake ila rangi yake nakoma mimi πUnamaanisha nini To yeye muacheni ana danga lake hakosi kitu tena ji anyota 3 jeshini mtishie sasa imeisha hiyo
Mimi nahitaji kama kakaChaguaneni, ila ikitokea mtu anahitaji ndugu wa kukodi ili aende nao ukweni, Niko hapa ποΈ