Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
😆😆😆 nimefanyajeShindikanaa.
Mfundishe dogo inawezekana amebalehe juziHaiombwi hivyo
Nipo na joto la Bata mzinga leo....sijui tufanyaje...maana usiku nao ushaingia🥴
Afadhali umelikubali, namna hiyo ndivyo inavyotakiwa.😆😆😆 nimefanyaje
Nini hiyo ?Haiombwi hivyo
Hapo sasa 😅Hivi unajuaje kama ni wa kike??
Acha mimi nife tu na upwiru 😭Nipo na joto la Bata mzinga leo....sijui tufanyaje...maana usiku nao ushaingia🥴
Afu mkono uache...Acha mimi nife tu na upwiru 😭
🤣🤣🤣🤣 Ila we jamaa wewe🙌Mada za hivi zishawekwa zaidi ya mara 100. Hakuna jipya
Chukua togwa hapo kunywa usichoshe watu
Hizi mada zimejadiliwa sana😂🤣🤣🤣🤣 Ila we jamaa wewe🙌
Sitaki mchumba mimi 😎
Ifikie hatua haya Mambo tupambane nayo hikihiki kitaa....humu ni changamoto sana🤣Hizi mada zimejadiliwa sana😂