ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Ndiye mchumba ako?Yesu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiye mchumba ako?Yesu
Wapo watatu tu. Wengine wenye utambulisho wa kike ni vijana wa kiume wenye asili ya 🇳🇬 na 🇨🇮.Kwahiyo katika huu uzi umeona wanawake wangapi mkuu? Na unawajuaje? Embu toa shule kidogo.
Kama ndio hivyo huyo atanifaa akuje kwangu au sijui nimtokee tu kiainaa😘 Evelyn Salt please come this wayEvelyn Salt , huyu kupitia maandishi yake ni bonge la mshangazi! Nakubali majibu yake makavu! Huyu labda atake mwenyewe coz huna cha kumdanganya!
Duuh, so wanaume nao huwa wanapretend kuwa gal sio hahahaaaWapo watatu tu. Wengine wenye utambulisho wa kike ni vijana wa kiume wenye asili ya 🇳🇬 na 🇨🇮.
Mhmjm utamsaidiaje akipatwa na majanga?We ruka nae
Mguu pande mguu sawa! Tusake wachumba mpaka wapatikane😂 mwendo bado sana kuumaliza kaka.
cocastic unaitwa huku,,new member lakin ni mkongweNUMBER TWO : Cocastic
Huyu ni mwanamke wa kipekee, machachari sana , anaonekana mjanja mjanja sana wa mjini but I gues huyu upstairs yupo njema sana. Na hiki ndio kinachonivutia zaidi hasa kupitia comments anazochangia kwa post mbali mbali.
Ni aina ya wanawake wajanja but God fearing!
Navutiwa nae kumuoa kwa sababu hata Mungu akitujalia naamini tutapata watoto ambao upstairs watakuwa njema sana kwa sababu mama yao Cocastic nae yupo poa kichwani+ mimi baba yao - hapo nadhani tutakuwa so proud na watoto wetu aisee
Cocastic nikuchumbie uwe mke wangu jamani
Kumbe cocastic ni mwanamke😗😗NUMBER TWO : Cocastic
Huyu ni mwanamke wa kipekee, machachari sana , anaonekana mjanja mjanja sana wa mjini but I gues huyu upstairs yupo njema sana. Na hiki ndio kinachonivutia zaidi hasa kupitia comments anazochangia kwa post mbali mbali.
Ni aina ya wanawake wajanja but God fearing!
Navutiwa nae kumuoa kwa sababu hata Mungu akitujalia naamini tutapata watoto ambao upstairs watakuwa njema sana kwa sababu mama yao Cocastic nae yupo poa kichwani+ mimi baba yao - hapo nadhani tutakuwa so proud na watoto wetu aisee
Cocastic nikuchumbie uwe mke wangu jamani
Hawawezi pitwa mi lazma niwa mention waone kinagaubaga Aaliyyah kuja ukuNUMBER THREE: Aaliyyah
Huyu ni decent woman but she seems to be very selective. Naamini ipo siku atakuja kujutia hii tabia yake.
Honestly from my heart nampenda sana Aaliyyah but it sounds like tayari married or taken with someone and she don't know what to do right now - the way forward.
Anyway, nilichompendea ni MWANDIKO WAKE. Aaliyyah yupo vizuri kichwani, kapata malezi mazuri kwa familia yake hasa upendo wa baba yake.
I wish angekuwa wangu ili tuweze kujenga maisha pamoja na sisi tuweze kuwa role model kwenye jamii kama ambavyo baba yake au familia yao ilivyokuwa role model mtaani kwao.
Aaliyyah know that nakupenda and I will not stop loving you 😘
Carleen kwa heshima na taadhima uje huku,,wewe ue bi mkubwa wa kwanza kutajwaMsemakweli ni mpenzi wa Mungu ,
Mimi kuna wanawake watatu humu jf ambao kama nabahatika kuonana nao, nipo tayari kuoa mmoja wao kwa maana wana sifa za kunifaa japo Avatar zao zimenivutia - wawili, mmoja nimevutiwa na muandiko wake.
NUMBER ONE: Carleen
Huyu mwanamke ananivuruga akili yangu sana tena. Anaonekana ni mtu mwenye hofu ya Mungu, lakini pia ni mwanamke wa kisasa - anaekwenda na wakati .
Lakini pia Avatar yake inanifanya nizidi kuchanganyikiwa hofu yangu ni kuwa huenda tayari ana mume au familia tayari but siachi kumzimia na nipo ready to establish a stable and good family with her. Please Carleen pokea huo ujumbe wangu