Dushelele ni Sehemu ya uzazi was mwanaume.
Pambana na hali yakoHuu ni Uzi Maalum kwa wageni na wote ambao baadhi ya maneno yanawapiga chenga, Uzi huu utatoa maana na mwanga juu ya Maneno yatumikayo humu JF.
Hii ni ili kupunguza adha ya kutoelewa nini kinazungumziwa maneno au neno Fulani linapotajwa. Hizi ni 'Codes' Maalum sana JF, ukishazijua itakufanya uifurahie JF zaidi.
Maneno hayo yapo mengi humu, lakini Mimi nitataja baadhi na wenzangu watasaidia katika maneno mengine. Nitaandika neno na maana take katika lugha halisi ambayo inaweza isiwe ngumu kwako.
PM - Private Message
Papuchi - Uke/Sehemu ya Siri ya Mwanamke
Sizonje - JPM
Kibamia - Uume mdogo
Mkuyenge - Uume Mkubwa
Kufukua Makaburi - Kufatilia nyuzi/Uzi wa kipindi kilichopita
Assist - Kutapeli
Mengine wataongezea WanaJukwaa wengine.
Huu utakuwa muongozo kwa wote watakaokuwa hawajui wengine wanamaanisha nini.
Ukiona mtu anaoga mchana ujue kesho asbh apime mkojo
Nifundishe na mimi mwalimuSijawahi tumia JF application so sijui ilivyo. Jaribu hivi kama nayo inafanana na hii njia ninayokuelekeza
nenda hapo unapotaka kutype comments utakuta hicho kipini nimewekea alama ya njano hapo jirani na neno SEND,click hapo
View attachment 557440
Kisha itatokea hii,bonyeza neno image itakupeleka kwenye gallery yako chagua picha uitakayo
View attachment 557441
Kisha bonyeza done,ikishakuja kama hiviView attachment 557445
Ili ijae na kuonekana kwa wepesi bonyeza neno FULL IMAGE. Kisha send picha yako
Kumbe sizonje ndio JPM?????hahahahhahahhh
Kumbe sizonje ndio JPM?????hahahahhahahhh
jna la chuoTandabui ndio nn?!
Wala chips mna mambo[emoji23] [emoji23]Bwana Yule,Pogba,Juma Ponda Mali,baba Jesca =Magufuli
Popoma=mtu asiyejielewa
Wazee wa buku saba=wafuasi wa chama cha mapinduzi.
Kiboksi manyoya=sehemu ya siri ya mwanamke
Abdallah Kichwa wazi=Uume
Mwanaume wa Dar=Mtanashati,mtu mjanja mjanja,mtu anayekwenda na wakati,mtu mwenye upeo mkubwa kuhusu madili yote hapa town,mtu ambaye ana works Smarter not Harder
Mwanaume wa mkoani=mtu ambaye yupoyupo tu,hajipendi,mchafu,ana mambo ya ajabu ajabu,anatumia nguvu nyingi kuliko akili
Tandabui ndio nn?!