the truecaller
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 809
- 940
Mwisho wa siku nawauliza nini hasa mnachojivunia nyinyi na familia zenu,kwa uwepo wenu nyuma ya keyboards of all time?
Kuna mtoto wenu hata mmoja kwenye wale 10 bora wenye class A,A,A,A,A,A,A,A,A?
Akili mukichwa,mtazeeka na stress wakati wenzenu maisha yakisonga mbele uzuri.
Jaribuni ku ballance mipangilio ya maisha na hizi social media.
Wengi mnatumika bila kujielewa na saa hazigandi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtoto wenu hata mmoja kwenye wale 10 bora wenye class A,A,A,A,A,A,A,A,A?
Akili mukichwa,mtazeeka na stress wakati wenzenu maisha yakisonga mbele uzuri.
Jaribuni ku ballance mipangilio ya maisha na hizi social media.
Wengi mnatumika bila kujielewa na saa hazigandi.
Sent using Jamii Forums mobile app