JF-get together party Disemba 2018

Kama unataka ku party fata maelekezo nenda kaparty.

Kama hutaki ku party au huna hela kaa kimya acha wenzio wale maisha.

Hayo ndio maoni yangu msiniulize kama nimeulizwa maoni yangu ni yapi.
Umemaliza.
Wakae kimya na wapite kushoto.
Sio lazima kila mtu ahudhurie.
Wengine wabaki kusoma comments
 
Kwahiyo ulikua unatest uvumilivu wa muandaaji kaka? Hii yetu sote wana JF. Ukiona kitu hakipo sawa una sema kwamba badala ya NGUO nyeusi kwanini isiwe pink. Lakini kusema nyeusi hapana halafu unakaa kimya sasa tutajuaje mawazo yako?
 
We kweli unanitafuta,
Nilimweleza kabisa mzigua, kwa jinsi nilivo ona mauthui ya party, hakuna haja ya kuchukua ukumbi.

Nikamwambia kama ni ishu simple tu, mnaweza kwenda hata pale bucket au nextdoor mkaufunga club kabisa.

Hapo ni party ya kishkaji tu
 
Madame acheni kuchafua hii plan, keep it in mind kwamba kwa kila jambo wapingaji wapo, usipoteneze energy ambayo ungeitumia kuweka mikakati kwa kuwajibu negative minded people.

Focus on the main issue please.

Mzigua90 take note of this.
Mkuu hawa wavaa shanga wenzetu wanakera samtaim.
Ok.
Poa.
Nimekusoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…