JF-get together party Disemba 2018

JF-get together party Disemba 2018

Yaani kama kila mtu anakunywa vinywaji vya elfu 20 si unajua pombe ghali.. Dear na sisi tunabanana tunywe zetu soda za elfu 20.
Usisahau kuja na pochi ya kuhifadhi nyingine
Hilo jibu hilooo...watuwekee na mishikaki yetu pembeni tena kama inawezekanaa...na chips kabisaa!!LA sivyo watatupunja hawaa..waleviii..hahahaaa
Yaap sisi tusio walevi lazima tukomae ikiwezekana ata na soda Bonge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahah
Nimejua kwanini unatoa povu.
Ulitaka tuje Mwika.....hahahhaha
Sasa kwa taarifa yako, party zote humu Jf nimeandaa mimi.
Kuanzia ya 1 mpaka ya 3.
Hakuna kilichoharibika wala kupotea.

Tafuta lingine aisee.
Ila sasa, paka, zomea, tukana, laumu hadi ukitaka kunnya hapa jukwaani kunnya tu.
Ila ndio hivo.

Ukija kijeuri nami nakujibu kijeuri.
Ukija kichoko nami nakujibu kichoko.
Mwika pale sinza makaburini??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hao wala hawanisumbui.
Nawaona washamba tu.
Ukute hata Kariakoo au hapajui.
Afu siwezi jua...
Mtu anayebishana na mwanamke namuona kama vile basha, navaa nae pedi nikiwa hedhini

Madame acheni kuchafua hii plan, keep it in mind kwamba kwa kila jambo wapingaji wapo, usipoteneze energy ambayo ungeitumia kuweka mikakati kwa kuwajibu negative minded people.

Focus on the main issue please.

Mzigua90 take note of this.
 
Back
Top Bottom