General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Wewe ni mshamba,Hahahahhha
Ohhhhhhhh....nilijua umelala, karibu.
Ni rahisi na ndio maana tukaichagua.
Kila mtu aketi katika mstari wake shoga angu.
Haya...umeongea weeeee, umeshaukwa weeeeee.....umetongola weeeee.
Sema sasa, tupe hizo namba zako tano uwapigie misukule wako waandae.
Maana naona unakaukwa mate hapa jukwaani.
Cha maana unachoongea huna.
We sema unatangaza kazi yako inayokuweka mjini hapa.
Kama party ya kishamba, acha tusherehekee na washamba wenzangu.
Yaani wewe mchicha ni wa hovyo kabisa.
Mshamba kwelikweli