JF-get together party Disemba 2018

JF-get together party Disemba 2018

Hahahahhha
Ohhhhhhhh....nilijua umelala, karibu.
Ni rahisi na ndio maana tukaichagua.
Kila mtu aketi katika mstari wake shoga angu.
Haya...umeongea weeeee, umeshaukwa weeeeee.....umetongola weeeee.
Sema sasa, tupe hizo namba zako tano uwapigie misukule wako waandae.

Maana naona unakaukwa mate hapa jukwaani.
Cha maana unachoongea huna.
We sema unatangaza kazi yako inayokuweka mjini hapa.

Kama party ya kishamba, acha tusherehekee na washamba wenzangu.

Yaani wewe mchicha ni wa hovyo kabisa.
Wewe ni mshamba,
Mshamba kwelikweli
 
Bibie hiyo kazi nishaachana nayo mama.
Nilifanya baada ya kumaliza chuo, huku nikiendelea kutafuta professional yangu.

Of course ilinijengea marafiki na kujuana na watu wengi sana.

Huna kazi ya kunipa mama, party km hii ilikuwa kusaidiana na kuitengeneza iwe ya kisasa zaidi.
Sasa 1.5M unaniambia nataka kuwapiga, nawapigaje hapo?? Si laana tupu tu.

When I was there, nilikuwa nalipwa 700k net salary, lkn posho ya kusimamia sherehe tu ilikuwa 50k.

Na kumbi zetu inabidi ufanye booking miezi mitatu mbele.
Now ukienda harusi siku ya Jmosi utaambiwa nafasi ipo January huko

Naanzaje kusema hii party ni kazi??

Dah!!
Ok tushajua mshahara wako uliokuwa unalipwa!!
What next?
Unataka basha humu au unataka ndoa?
We mwenyewe pangu pakavu tia mchuzi.
Hujiwezi kwa lolote...ndo utaniweza mie
Ptuuuu......!!!!!!!!

Na aliyekwambia kwamba tunakupa kazi hii nani?
Hapa hakuna Kitchen party wala sendoff kaka.
Utakuwa umekosea njia.

Mshahara wako ni wako maana haukuwahi nisaidia.
Hahahaha
Mwanaume mzima unajisifu mshahara unaopokea?
Hahahahah.....undezi huo mkuu.
Mwanaume wa kweli anajisifia kupiga mashine bro.

Tulia ulambe dawa.
Tushajuwa mshahara wako.
Kifuatacho.....unataka tufanyaje kwa mfano?
Mxiyuuuuu....!!!!

Pesa na kibamia.
Sawa na kuwa shoga bila kutembea na Ky
 
Chillax fella. We need ur opinions nd way forward not all this distracting abc
Comment yangu ya kwanza ilikuwa simple tu,
Nilitegemea angetaka tufanyeje lkn yeye kaja na matusi.

Sisi wengine tumekulia uswaz na hata ushuani.

Badala ya kuhangaika na watu wake kuifanikisha hii party ana hangaika na mimi.

Na nimemwambia naomba nikae kimya uendelee na shughuli yako lkn bado ananipanda.

Wenzie wamemwambia anipotezee wajadili party itakuaje, hataki.

Dada mshari sana huyu, anaweza wapasulia chupa siku hiyooo
 
Ok tushajua mshahara wako uliokuwa unalipwa!!
What next?
Unataka basha humu au unataka ndoa?
We mwenyewe pangu pakavu tia mchuzi.
Hujiwezi kwa lolote...ndo utaniweza mie
Ptuuuu......!!!!!!!!

Na aliyekwambia kwamba tunakupa kazi hii nani?
Hapa hakuna Kitchen party wala sendoff kaka.
Utakuwa umekosea njia.

Mshahara wako ni wako maana haukuwahi nisaidia.
Hahahaha
Mwanaume mzima unajisifu mshahara unaopokea?
Hahahahah.....undezi huo mkuu.
Mwanaume wa kweli anajisifia kupiga mashine bro.

Tulia ulambe dawa.
Tushajuwa mshahara wako.
Kifuatacho.....unataka tufanyaje kwa mfano?
Mxiyuuuuu....!!!!

Pesa na kibamia.
Sawa na kuwa shoga bila kutembea na Ky
We si umesema nilitaka kupewa kazi??

Au umesahau ulichoandika????

Mara sijui nataka kuwapiga,

Nimekueleza sina njaa ya kupiga ela ndogo km hiyo.

Hivi kwenye 1.5 unaibaje??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Comment yangu ya kwanza ilikuwa simple tu,
Nilitegemea angetaka tufanyeje lkn yeye kaja na matusi.

Sisi wengine tumekulia uswaz na hata ushuani.

Badala ya kuhangaika na watu wake kuifanikisha hii party ana hangaika na mimi.

Na nimemwambia naomba nikae kimya uendelee na shughuli yako lkn bado ananipanda.

Wenzie wamemwambia anipotezee wajadili party itakuaje, hataki.

Dada mshari sana huyu, anaweza wapasulia chupa siku hiyooo
Akupande nani bhana wee.
Nikupande we kitanda?
Nenda kasome comment yako ya mwanzo kabisa...hujataka kujadili.
Bali umekuja kishari.

Mie mtu poa sana ila sifai hata kidogo.
Ukileta ujuaji...utakutaana na wajuaji zaidi yako.
Unaanza kunihubiria kuhusu sijui blah blah zako.
Hahahhaha.....ulizia wanaonifahamu.
Nimekulia uswazi mixer unyenyema.

Kwahiyo kijitu kimoja kama wewe hakinisumbui katu
 
We si umesema nilitaka kupewa kazi??

Au umesahau ulichoandika????

Mara sijui nataka kuwapiga,

Nimekueleza sina njaa ya kupiga ela ndogo km hiyo.

Hivi kwenye 1.5 unaibaje??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahhah
Aliyekamatwa na kisu, ndie alieiba nyama.
Hahahhahha....

Wapi pameandikwa unataka kupiga?
Hahahaha.....umejiibia mwenyewe..

Hatutaki wapigaji sisi.
Kaibe huko kwa anayekuweka mjini Mwika.

Unataka 1.5 yetu pia tukupe uipigie bajeti?
Tuonee huruma jamaniiiiii.....pesa ndogo hii.
 
Akupande nani bhana wee.
Nikupande we kitanda?
Nenda kasome comment yako ya mwanzo kabisa...hujataka kujadili.
Bali umekuja kishari.

Mie mtu poa sana ila sifai hata kidogo.
Ukileta ujuaji...utakutaana na wajuaji zaidi yako.
Unaanza kunihubiria kuhusu sijui blah blah zako.
Hahahhaha.....ulizia wanaonifahamu.
Nimekulia uswazi mixer unyenyema.

Kwahiyo kijitu kimoja kama wewe hakinisumbui katu
Hivi unajua kusoma kweli?
Wapi nimeandika unanipenda?

Kwanini usihangaike na watakao kuja kwenye party??

Unajua ungetumia jukwaa hili kuhangaika nao hao watu. Sasa unapoteza muda na mtu asiyekuja?

Tena mtu huyo kakuomba mzozo uishe kwa faida ya wengine lkn bado una nga'ng'ana nae??

Ww dada mzima kweli??

Au yashakushindaa????
 
Hahahhah
Aliyekamatwa na kisu, ndie alieiba nyama.
Hahahhahha....

Wapi pameandikwa unataka kupiga?
Hahahaha.....umejiibia mwenyewe..

Hatutaki wapigaji sisi.
Kaibe huko kwa anayekuweka mjini Mwika.

Unataka 1.5 yetu pia tukupe uipigie bajeti?
Tuonee huruma jamaniiiiii.....pesa ndogo hii.
Okay,
All is well.
For the benefits of others, let me quit this discussion.

Best wishes!!
 
Hivi unajua kusoma kweli?
Wapi nimeandika unanipenda?

Kwanini usihangaike na watakao kuja kwenye party??

Unajua ungetumia jukwaa hili kuhangaika nao hao watu. Sasa unapoteza muda na mtu asiyekuja?

Tena mtu huyo kakuomba mzozo uishe kwa faida ya wengine lkn bado una nga'ng'ana nae??

Ww dada mzima kweli??

Au yashakushindaa????
Wapi nimeandika nakupenda?
Mie na wewe nani asiyejua kusoma?
Nikupende wewe mwenye sura nzito na kavu kama uvungu wa pummbu?

Mie mzima.
Ila sidhani kama wewe una uzima maana kubishana na mtoto wa kike tena kwa kuchambana basi kuna walakini.
Kama sio mwenzetu...basi mwenza wa mtu.

Hahahhahhajajajaj.......
Vumilia tu brooo.....ndo tulivyo sisi.
Wala hayajanishinda.

Kama vipi tunaweza kwenda mpaka round 50 bro.
Mchawi chaji na bando
 
Back
Top Bottom