JF-get together party Disemba 2018

JF-get together party Disemba 2018

Naomba uniambie kuna nini kipya kwenye party hii??

Mi sio harusi tu, event za makampuni mbalimbali nilikua nasimamia. Kuanzia NMB, TBL, za serikali ndo usiseme mana tulikuwa mzabuni huko.

Sasa dada angu unaniambia party ya watu 50? Budget ya 1.5M??

Napoteza nguvu bure tu hapa.
Chillax fella. We need ur opinions nd way forward not all this distracting abc
 
Ndo mana nasema we bado sana mama!!

Mi nakupa shulee.

Watanzania wengi wanapenda kupata vitu vikubwa zaidi ya pesa aliyo toa.

Pia, shughuli una ambiwa ni ya watu 300, lkn unashangaa wanakuja 400,

Unaweza kuchomoka hapo??
Uhakikishe sherehe inakwenda vzr kumlinda mteja??

Party yako ni rahisi sana, tena mi party km hiyo wala hainisumbui kichwa, simu zangu tano tu nikipiga kila kitu mnakuta kiko sawiaa.

Yani wewe dada hovyo kabisaa
Hahahahhha
Ohhhhhhhh....nilijua umelala, karibu.
Ni rahisi na ndio maana tukaichagua.
Kila mtu aketi katika mstari wake shoga angu.
Haya...umeongea weeeee, umeshaukwa weeeeee.....umetongola weeeee.
Sema sasa, tupe hizo namba zako tano uwapigie misukule wako waandae.

Maana naona unakaukwa mate hapa jukwaani.
Cha maana unachoongea huna.
We sema unatangaza kazi yako inayokuweka mjini hapa.

Kama party ya kishamba, acha tusherehekee na washamba wenzangu.

Yaani wewe mchicha ni wa hovyo kabisa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shem nacheka mm ujue jf hii usiichukulie serious watu hata kujuana hatujuani tutaongea zaidi kule nyumbani kwetu
Ila mliuza sana maana ktk hot list couple 5 za jf nyie mlikua hamkosi

Ila jf ni zaidi ya nijuavyo
 
Hahahahhha
Ohhhhhhhh....nilijua umelala, karibu.
Ni rahisi na ndio maana tukaichagua.
Kila mtu aketi katika mstari wake shoga angu.
Haya...umeongea weeeee, umeshaukwa weeeeee.....umetongola weeeee.
Sema sasa, tupe hizo namba zako tano uwapigie misukule wako waandae.

Maana naona unakaukwa mate hapa jukwaani.
Cha maana unachoongea huna.
We sema unatangaza kazi yako inayokuweka mjini hapa.

Kama party ya kishamba, acha tusherehekee na washamba wenzangu.

Yaani wewe mchicha ni wa hovyo kabisa.
Bibie hiyo kazi nishaachana nayo mama.
Nilifanya baada ya kumaliza chuo, huku nikiendelea kutafuta professional yangu.

Of course ilinijengea marafiki na kujuana na watu wengi sana.

Huna kazi ya kunipa mama, party km hii ilikuwa kusaidiana na kuitengeneza iwe ya kisasa zaidi.
Sasa 1.5M unaniambia nataka kuwapiga, nawapigaje hapo?? Si laana tupu tu.

When I was there, nilikuwa nalipwa 700k net salary, lkn posho ya kusimamia sherehe tu ilikuwa 50k.

Na kumbi zetu inabidi ufanye booking miezi mitatu mbele.
Now ukienda harusi siku ya Jmosi utaambiwa nafasi ipo January huko

Naanzaje kusema hii party ni kazi??

Dah!!
 
Back
Top Bottom