Mmh. Ndugu yangu akisafiri kwanza hata kuchangia huwa nachangia kwa machale ili tu nisije nikachokozwa maana hakutabiriki huku. ππππujifunzage ngumi na wewe khaa numbisa akisafir je pooooh
Mmh. Ndugu yangu akisafiri kwanza hata kuchangia huwa nachangia kwa machale ili tu nisije nikachokozwa maana hakutabiriki huku. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mdogo wangu kwani huna nguvu? [emoji101][emoji101][emoji101][emoji101][emoji101]ninong'oneze naskiza.
Karibu mama! nilikuwa nasuiria kauli yako tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmh. Ndugu yangu akisafiri kwanza hata kuchangia huwa nachangia kwa machale ili tu nisije nikachokozwa maana hakutabiriki huku. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mdogo wangu kwani huna nguvu? [emoji101][emoji101][emoji101][emoji101][emoji101]ninong'oneze naskiza.
Khe!!
Mbona vita sasa?
Alikulia chako nini.....
Itabido siku hiyo kazi ya ulinzi nimpe Mwarabu the fighter.
Maana naona watu mnataka kulipiziana visasi.
Hahahahaha
Oooh Basi Fanya tutengeneze tugeza pati ya wawili tu. Tuifanyie hata kawe bichiNatamani niwepo ila muda huo nitakuwa Niko hoi ..β¦... Nahesabu siku za kuingia leba
Mimi Niko huku chilondolo nafagilia mikorosho utanitupia updates za kutosha πππ
Hahahaaa. Hapana best.Hivi utakuwepo Best?
Umepotea sana khaaaa!Siamini, Kama mpaka page ya 50 naa hakuna mtu aliyenitag ok ok nani kachefua hali ya hewa tumuanzishie?
Hahahaaa. Hapana best.
Huku Namnyamba ruhusa za kuja mjini ni changamoto. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaaaaaa. Huu ndio undugu sasa.Nitawachangia Watanga wenzangu
Mzigua 900
Ukhty
Hajar
Shunie