JF-get together party Disemba 2018

Mkuu, huyo dada.... Madame S anaonekana yuko polite sana, the way anajibu comments zako as if mmeonana kwa mara ya kwanza nasasa mnaanza kuufahamiana. Nimependa mazungumzo yenu
Daaah,nilijua tu humu sio sehemu salama...! Ndio maana nikawa naomba tubadiloshe venue.

Kaka shukrani kwa kufatilia maongezi yetu....!
 
FYI Party INA baraka zote za Max na Team Ya Jamii Forum. Pia hii sio ya kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…