kikao cha saa tano hik s kwemaKikaoni nimewapa hoja nzito wanapaparika nayo kwanza.... Napiga miguu yote mimi.
Mkuu, huyo dada.... Madame S anaonekana yuko polite sana, the way anajibu comments zako as if mmeonana kwa mara ya kwanza nasasa mnaanza kuufahamiana. Nimependa mazungumzo yenuNisaidie...!
Daaah,nilijua tu humu sio sehemu salama...! Ndio maana nikawa naomba tubadiloshe venue.Mkuu, huyo dada.... Madame S anaonekana yuko polite sana, the way anajibu comments zako as if mmeonana kwa mara ya kwanza nasasa mnaanza kuufahamiana. Nimependa mazungumzo yenu
[emoji23] [emoji23] haya basi nawaacha mkuu...endeleeniDaaah,nilijua tu humu sio sehemu salama...! Ndio maana nikawa naomba tubadiloshe venue.
Kaka shukrani kwa kufatilia maongezi yetu....!
Hahahahahha...! Tuko pamoja bro ![emoji23] [emoji23] haya basi nawaacha mkuu...endeleeni
ngoja nitakwambia utazani linanipa bandoLinani hilo? khaa watu wengine sijui wakoje,za uso tu zinawatosha
Nipo City Pub hapa njooniWale wa southern highland tukutane mbeya basi jaman dar mbali duh
we haya tutayar
saa saba huku ulikua unatafta nn??? Bora umekuja ulipe hiyo hela twende zetuwe haya tu
ha ha ha jamani hata simfaham mimi nililala zanguMkuu, huyo dada.... Madame S anaonekana yuko polite sana, the way anajibu comments zako as if mmeonana kwa mara ya kwanza nasasa mnaanza kuufahamiana. Nimependa mazungumzo yenu
Wangejipangia wapi? Au sisi tulioamua kufanya kwa kuwakilisha wengine ni wanafacebook?hii party ni yako au wana jf? kwann wao wenyewe ndo wasingejipangia cha kufanya na pakukutana ila ushawapangia kitu cha kufanya na pa kwenda kama watoto wadgo
Hata 10Tunaruhusiwa kuja na wake zetu wawili wawili au watatu watatu au wanne wa nne ?
siendisaa saba huku ulikua unatafta nn??? Bora umekuja ulipe hiyo hela twende zetu
FYI Party INA baraka zote za Max na Team Ya Jamii Forum. Pia hii sio ya kwanza.Jifunzeni jinsi mikutano ya HACKERS inavyoandaliwa na jinsi wanavyokutana.
Msihatarishe usalama wa watu kizembe namna hii.
Maxence Melo angalia hii kitu ni kukutwika yet another burden from safeguarding our anonymity.
Facebook users or tweeter users wameshawahi fanya kitu similar to this.
Lets enjoy JAMIIFORUMS platform.
Kwa swali hilo lazima mgeniKitulize mkuu.. We mgeni nni?
Wake huwa mwisho wa nne tu hao sio wake itabidi kuwatafutia majina.Hata 10
me nataka kwendasiendi
Kwa sababu hao wanachama huwa hawajagi wengi mkuu.Kwanini tusitafute ukumbi wa wazi ambao unachukuwa idadi kubwa ya wanachama?
Sent from my SM-P555 using JamiiForums mobile app
Kupendeza ndo sina uhakika labda unisaidie kugharamia kupendeza kwangu. Ila nitakuwepo mkuuSiku hyo upendeze sana,nataka nikuone kama ninavyokuimagine