Hiki si kiporo....huu ni msosi umepikwa na unaonjwa ukiwa jikoni....kudokoa kutamu sana
hahahaa unanichekesha love....
Umeshawahi kudokoa chakula kikiwa jikoni? niiice eeeh
We tuma tu huna haja ya kutaja ID hata ukija utaingia na jina ulilotumia MPesa, na kama ukipenda nijue ID yako sawa na nitafanya siri kwani hata Party ya Januari 2013 watu walituma pesa zao na wapo walionipa ID zao na wapo ambao hawakunipa lakini nilifanya siri hakuna hata mmoja niliye expose ID yake. Mimi ni mtu mzima na ninajua kutunza siri hivyo usihofu
So nice......huwa kinakuwa kitamu.unaweza kutaka kudokoa and kudokoa again
Mpaka chakula kikaisha....
kifua kimezidi love....nahitaji tiba
Huku hakuna raia analeta usumbufu...hata Robot hakanyagi
Heee mbona watu huwa wanalalamika sana kuwa wanasumbuliwa huko PM?
habari yako bibieeuko standby kutaka kujua ya uvunguni..........lione kwanza!
utatoboka macho!
habari yako bibiee
hata mimi naona jinsi switat wanguAiseee Ruttashobolwa Passion Lady hajambo..? Msalimie sana.. Mwambie unanichokoza huku.. nikilipuka nisilaumiwe mie.. ohooo..
hata mimi naona jinsi switat wangu
anakuchokoza,au anamtaka mkeo nini shem?!!
hata mimi naona jinsi switat wangu
anakuchokoza,au anamtaka mkeo nini shem?!!