JF Get Together Party kufanyika Kebby’s Hotel Jumamosi 25 Januari 2014, michango imeanza kupokelewa…

JF Get Together Party kufanyika Kebby’s Hotel Jumamosi 25 Januari 2014, michango imeanza kupokelewa…

Mapendekezo yangu,

Kwa kuwa hii mmesema ni JF get together party, huu uzi usiwe chitchat
kuna wadau wengi sana wanaoweza kushiriki kama wangeuona huu uzi kule kwenye Habari na Hoja. au MMU..
Mjue hili jukwaa la chitchat watu wengi sana hawalijui na huwa hawalioni labda mtu awe mentioned!!


Sasa kama tunataka ushiriki mzuri wa wanaJF wote waliopo Dar na kwingineko, basi hamisheni huu uzi kutoka chitchat
Upelekwe either MMU au jukwaa jingine ambalo linaonyeshwa sehemu zote!!

CC; lara 1, Mtambuzi and others who are concerned
 
Last edited by a moderator:
We tuma tu huna haja ya kutaja ID hata ukija utaingia na jina ulilotumia MPesa, na kama ukipenda nijue ID yako sawa na nitafanya siri kwani hata Party ya Januari 2013 watu walituma pesa zao na wapo walionipa ID zao na wapo ambao hawakunipa lakini nilifanya siri hakuna hata mmoja niliye expose ID yake. Mimi ni mtu mzima na ninajua kutunza siri hivyo usihofu

Na kweli Mtambuzi unajua kutunza siri.. Mpaka leo hawajui kama Gissela alikuja kunitembelea hapa lol..
 
Last edited by a moderator:
hivi hubby anajua kama huwa nachat JF? ngoja niage nina safari ya kikazi kuelekea Dar
 
Back
Top Bottom