Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
You are Heaven on Earth....
will you be mine and mine ONLY vin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are Heaven on Earth....
Will tell you when am in your arms here u cant understand
ok baby...unajua sina ubavu wa kukubishia
najua hata kunikatia pia huwezi
nitajitahidi....
Naomba tuhamie kwa PM Pinda....
We tuma tu huna haja ya kutaja ID hata ukija utaingia na jina ulilotumia MPesa, na kama ukipenda nijue ID yako sawa na nitafanya siri kwani hata Party ya Januari 2013 watu walituma pesa zao na wapo walionipa ID zao na wapo ambao hawakunipa lakini nilifanya siri hakuna hata mmoja niliye expose ID yake. Mimi ni mtu mzima na ninajua kutunza siri hivyo usihofuHii imetulia sana! Nahisi kuwepo. Ngoja nimPM Mtambuzi anieleze akipokea mchango wangu kwa Mpesa atajuaje ni mimi manake Mpesa itaonyesha jina tofauti na hii ID ya JF!
Nasubiri mchango wako, hebu tuma fasta usiniangushe bana........ LOLas you say
Naomba tuhamie kwa PM Pinda....
Am watching u... Ushaanza kuharibu bado mapemaaa eeeh???
Heaven on Earth luk very, safari hii sitakubali yanitokee kama yaleee ya White Party!!
Naomba tuhamie kwa PM Pinda....
Am watching u... Ushaanza kuharibu bado mapemaaa eeeh???
Heaven on Earth luk very, safari hii sitakubali yanitokee kama yaleee ya White Party!!
Usiwe na wasiwasi my dear....twakuandalia bongee la suprise ndio maana twaenda chobingo.....
Nasubiri mchango wako, hebu tuma fasta usiniangushe bana........ LOL
Nikiwakuta huko kwa PM Pinda E. Nchimbi atahusika sana na vijana wake wa ghasia!
kweli...? ngapi binamu?