JF Get Together Party sasa kufanyika Jumamosi Tarehe 25 Januari 2014…!!!!!

Ngoja niombe ruhusa kwa mume,na ingekuwa poa zaid naye akiwepo..tufanye logistics mapemaa.

Cc Erickb52
Hope ni Jumamosi bby.
Tutaenda wote usijali maana Tonykp hakawii kukusumbua.

Mwambie Mtambuzi tutashiriki asijali!

Miss you bby wangu....!
Come back Chocs wangu naumiaaaaaa!
 
Last edited by a moderator:

Alaf we Zinduna umejificha wapi?
 
Last edited by a moderator:

alaf kama ni hotel au mgahawa ni vyema tukazingatia miundo mbinu ya kuweza kuhakisha watu wote wanakuwa confortable kurudi kwenye vibanda vyao nikimaanisha tuchague sehemu ambapo usafiri na mambo mengine ni rahisi kupata. Alaf tuchague sehemu ambapo wataruhusu kuleta chupa zetu za vinyo.
 
Mkuu inabidi tukamzike mwanachama mwenzetu ......
Kwani amekufa kishujaa aisee... LOL

Mwanachama mzembe sana yule. Yani badala ya kupiga govinder kumar ye anahangaika na maviagra. agrrrrr
 
This time, I will try not to miss. Thankyou@Mtambuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…