JF Get Together Party sasa kufanyika Jumamosi Tarehe 25 Januari 2014…!!!!!

JF Get Together Party sasa kufanyika Jumamosi Tarehe 25 Januari 2014…!!!!!

Naunga mkono hoja..
Naomba nipewe nafasi ya kuja na kikundi changu cha MSEWE kutumbuiza siku ya Ghafla hiyo, huo ndio utakuwa mchango wangu.

Copy to- charminglady, Zion Daughter, Elizabeth Dominic, Avemaria, Asnam, Smile, snowhite, Lady doctor, Nivea, Lisa, miss wa kinyaru, lara 1, sister, King'asti, cacico, Asprin, Mwita Maranya, watu8, Ruttashobolwa, Teamo, TANMO, mdida, Blaki Womani, Arushaone, Mzee wa Rula, Filipo, PakaJimmy, Bishanga, LiverpoolFC, KOKUTONA, Arabela, Husninyo, MwanajamiiOne

Umesomeka bishost!!!
 
Last edited by a moderator:
Naunga mkono hoja..
Naomba nipewe nafasi ya kuja na kikundi changu cha MSEWE kutumbuiza siku ya Ghafla hiyo, huo ndio utakuwa mchango wangu.

Na ole wako ukose mwana Bububu wewe....
 
Hivi Govinder Kumar ni kinywaji cha aina gani hicho?
Hiki hapa Mkuu..........

old_admiral_bottle-250x250.jpg
 
Haya wakuu naomba maoni yenu kuhusu ukumbi, kwa upande wangu nafikiria kuhusu kumbi hizi:

1. San Siro - Sinza

2. Brajec -Mikocheni au Mlimani City Savei

3. Kebby's Hotel - Bamaga Mwenge

Naomba mapendekezo ili tuendelee na kupanga bajeti niwaletee mchanganuo hapa kisha tuanze kukusanya michango fasta fasta
 
Haya wakuu naomba maoni yenu kuhusu ukumbi, kwa upande wangu nafikiria kuhusu kumbi hizi:

1. San Siro - Sinza

2. Brajec -Mikocheni au Mlimani City Savei

3. Kebby's Hotel - Bamaga Mwenge

Naomba mapendekezo ili tuendelee na kupanga bajeti niwaletee mchanganuo hapa kisha tuanze kukusanya michango fasta fasta
Mimi napendekeza Escape1Papo poa mnatengewa sehemu yenu!poa kabisa!
 
Mimi napendekeza Escape1Papo poa mnatengewa sehemu yenu!poa kabisa!
Mkuu toa ufafanuzi wa hapo mahali, location, price, menu etc maana sio watu wote wanapajua huko .......
 
Back
Top Bottom