JF Get Together Party sasa kufanyika Jumamosi Tarehe 25 Januari 2014…!!!!!

JF Get Together Party sasa kufanyika Jumamosi Tarehe 25 Januari 2014…!!!!!

Hivi hiyo tarehe haitobadilika?
Si mnajua tena.....
amu kila mtu akitaka tarehe yake tutakuwa confused, tumetoa tarehe mapema ili wadau wajipange, kumbuka tuna miezi miwili kufikia tarehe ya tukio.
Naomba ushirikiano tafadhali.

Natumaini utahudhuria na hutoniangusha kabisa, au?
 
Last edited by a moderator:
Namtuma kipajihalisi aje na jibu!kwani hayo nimaeneo yake ila nitarudi baadae nione kama nitakuwa nimepata machanganuo!
KakaKiiza naomba tuwasiliane kuhusu swala la ukumbi maana nataka kuanza kutangaza michango.
Jana nikishirikiana na Jiwe Linaloishi tulipitia kumbi kadhaa lakini gharama zao ni kubwa na wana masharti mengi kiasi kwamba hatuta enjoy, ukumbi pekee ambao unaonekana kuwa nafuu na masharti yasiyokwaza ni ule wa Kebbys Hotel Pekee na nilikuwa natarajia kutangaza leo kuwa party itafanyikia hapo.

Copy to lara 1, Jiwe Linaloishi, Vin Diesel, Kipaji Halisi, Paloma, ladyfurahia, cacico, gfsonwin, Madame B
 
Last edited by a moderator:
Naunga mkono hoja..
Naomba nipewe nafasi ya kuja na kikundi changu cha MSEWE kutumbuiza siku ya Ghafla hiyo, huo ndio utakuwa mchango wangu.

/QUOTE]

shosti ukiwepo lazma nitie timu. halafu hicho kikundi cha msewe ni kile cha magoma moto au kingine?
 
Mhh! mi naona hata party yenyewe ishakwishia humu humu kunako jukwaa make kila mutu na wake asa si tusokuwa na wenza hata ka bluzi si hatutacheza mpaka kungojea za kuruka majoka tu?? Mi naona nighailishe kabisa kukanyaga hapo kunako party ya sherehe hii.
 
Back
Top Bottom