Mkuu Zanzibar wao wafanye kile wanachoona ni sahihi kwao..unazungumziaje brexit uki ifananisha na muungano wa zanzibar
je zanzibar inaweza kufuata nyayo za brexit
[emoji23] so funny
Kuna kipindi uliweka wazi kuwa huna furaha kwenye maisha yako. Je bado unakabiliwa na hiyo situation au uliweza kuisolve?Nilitamani nioe nikiwa na 26yrs /27 ila siwezi kupanga nitaoa mkoa upi coz nitapokea wa kutoka mkoa wowote ule ilimradi ti awe yule tu ambaye namwomba Mungu anipatie
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Napingana nalo mkuu..Homosexuality ni suala tata, unavyodhani ni sahihi ikiwa ni haki ya mtu?
Proverb 3:5-6
mwaka jana kuna thread fulani kuna vitabu ulikuwa unatafuta kikiwepo hichi When Bad Things Happen to Good PeopleKanisa kwangu lina mchango wa kunikuza kiroho, kunikutanisha na watu wapya..Kunirejeshea furaha napokua sina amani.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Ni muhitimu wa kidato cha nne Miaka kadhaa iliyopitaWe ni specialist kwenye field gani?
Imani yangu kwa Mungu inazidi imarika siku baada ya siku mkuu si kubaliani na maoni ya mwandishi wa vitabu hivyo mkuumwaka jana kuna thread fulani kuna vitabu ulikuwa unatafuta kikiwepo hichi When Bad Things Happen to Good People
baada ya kukisoma hicho kitabu je maoni yako kuhusu Mungu yalibadilika au la?
je unakubaliana na mwandishi kuwa God can't do everything, but he can do some important things.
Wow that's great. Ashukuriwe Heaven Sent popote alipoHapana somehow niko vizurii. .
How?? I meet a Heaven sent who have nourished my Life.. and Bring back all my Hope n Dreams
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Kwa hio unataka kutuambia wewe bado ni mvulana? ...ila hongera unaonyesha maturity ya kiwango cha juu.Nilitamani nioe nikiwa na 26yrs /27 ila siwezi kupanga nitaoa mkoa upi coz nitapokea wa kutoka mkoa wowote ule ilimradi ti awe yule tu ambaye namwomba Mungu anipatie
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Mkuu hujanijibu hili swali.Unapenda michezo gani?
Kama ni soka, unapenda timu gani hapa ndani na ulaya?
HahahahaaaaWow that's great. Ashukuriwe Heaven Sent popote alipo