Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Mkuu Zanzibar wao wafanye kile wanachoona ni sahihi kwao..unazungumziaje brexit uki ifananisha na muungano wa zanzibar
je zanzibar inaweza kufuata nyayo za brexit
Sioni faida ya muungano nadhani ni kitu kinacho wanufaisha watu wachache! !
Kwa nionavyo mm
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk