Naisubiri hard talk yako.1.Unaonekana unafuatiliaga sana movie jee ni ipi latest uliyoona na kali?
2.Tukikukabidhi leo hii JF uwe mmiliki wake jee ni kitu gani ungeongeza na kipi ungeondoa na kwa nini uongeze hicho ama upunguze kile?
3.Kwa siku minimumu na maximumu unalala masaa mangapi?
4.Jee katika jamii inayokuzunga ni jambo gani hukukela zaidi pale unapoliona/kukumbana nalo?
5.Idea yako ya kutafri vitabu kuja lugha adhimu ya kiswali imefikia wapi?
End Justify Mean
Kwa hio unataka kutuambia wewe bado ni mvulana? ...ila hongera unaonyesha maturity ya kiwango cha juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu HearlyLeo na jana " ndio nimeridhika hii kweli ni hard talk ... hongera sana da vince .. umeonyesha uwezo mkubwa sana wakujibu hoja mbali mbali ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja chiefAhsante sana mkuu Hearly
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Sio hio id uliyoitajaWow that's great. Ashukuriwe Heaven Sent popote alipo
Angalia vzr jibu lako la mwanzo. SijakoseaSio hio id uliyoitaja
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Mkuu ni kweli kabisa sikufanikiwa kufika advance ila nimeishia fom four. Kama ningefanikiwa ningekua mudaa huu Chuo mwaka wa kwanza. Sina elimu yoyote inayoniwezesha ni neema na baraka alizonijalia muumba wangu hua hanyimi vyote mtu!!Huwa unasema haujasoma kumaliza hata secondary. Lakini una uwezo mkuwa wa kupambanua mambo, na kuyanyambua vyema ambapo kwa mtu mwenye level yako ya elimu ni nadra sana kuweza.
Jee tofauti na elimu ( nchi yetu) una elimu nyingine inayokuwezesha kufanya hivyo?
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Mkuu mm ni mshabiki wa muvi na muziki tuu sio mpenzi wa soka japo ni fan wa messiMkuu hujanijibu hili swali.
Khaa kwamba sasa hivi hujafikisha hata miaka 20?[emoji85][emoji85]Mkuu nimejiunga JF nikiwa early 16yrs ni nikaweza ku fit in..
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Aina ipi ya muziki ndio mdau chief?Mkuu mm ni mshabiki wa muvi na muziki tuu sio mpenzi wa soka japo ni fan wa messi
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
1.Mkuu akii sipendi wana jf wajue niko under 231. Ni swali gani gumu kwako? Na ni kitu gani hupendi watu wakijue kukuhsu?
2. Ni kitu gani kimewahi kukufurahisha kwenye maisha yako ambacho huwezi kukisahau?
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaKhaa kwamba sasa hivi hujafikisha hata miaka 20?[emoji85][emoji85]
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah nimechelewa kuedit mkuu... Naomba uangalie tena tafadhali.1.Mkuu akii sipendi wana jf wajue niko under 23
2. Mkuu kurejeshewa matumaini ya kurudi kusoma wee achaa tuuu
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Hahahaa duuh we ka ben ten umejua kuniwezaHahaaa
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Mkuu ukijibu na haya yangua naomba unitag1.Unaonekana unafuatiliaga sana movie jee ni ipi latest uliyoona ni kali?
2.Tukikukabidhi leo hii JF uwe mmiliki wake jee ni kitu gani ungeongeza na kipi ungeondoa na kwa nini uongeze hicho ama upunguze kile?
3.Kwa siku minimumu na maximumu unalala masaa mangapi?
4.Jee katika jamii inayokuzunga ni jambo gani hukukela zaidi pale unapoliona/kukumbana nalo?
5.Idea yako ya kutafri vitabu kuja lugha adhimu ya kiswali imefikia wapi?
End Justify Mean
Mkuu mm ni memba kule.. na niliungwa bila kupenda. Sijui shida nn nikiomba kuungwa jukwaa la dini naungwa hadi kule.. nikitolewa huko hadi jukwaa la dini natolewa.Wewe ni member kule JLW? na kama ni member ni kitu gani kinakufanya uendelee kuwepo?
Inasemekana una iq nzuri (sina uhakika sababu iq haipimwi kwa uwezo wa kukariri) je ni nini kinacho verify ukubwa wa akili yako ama ni maneno ya watu?