JF Hard Talk "Da'Vinc"

JF Hard Talk "Da'Vinc"

1.Unaonekana unafuatiliaga sana movie jee ni ipi latest uliyoona na kali?
2.Tukikukabidhi leo hii JF uwe mmiliki wake jee ni kitu gani ungeongeza na kipi ungeondoa na kwa nini uongeze hicho ama upunguze kile?
3.Kwa siku minimumu na maximumu unalala masaa mangapi?
4.Jee katika jamii inayokuzunga ni jambo gani hukukela zaidi pale unapoliona/kukumbana nalo?
5.Idea yako ya kutafri vitabu kuja lugha adhimu ya kiswali imefikia wapi?

End Justify Mean
Naisubiri hard talk yako.
 
Huwa unasema haujasoma kumaliza hata secondary. Lakini una uwezo mkuwa wa kupambanua mambo, na kuyanyambua vyema ambapo kwa mtu mwenye level yako ya elimu ni nadra sana kuweza.
Jee tofauti na elimu ( nchi yetu) una elimu nyingine inayokuwezesha kufanya hivyo?

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Mkuu ni kweli kabisa sikufanikiwa kufika advance ila nimeishia fom four. Kama ningefanikiwa ningekua mudaa huu Chuo mwaka wa kwanza. Sina elimu yoyote inayoniwezesha ni neema na baraka alizonijalia muumba wangu hua hanyimi vyote mtu!!
Ni passion tu ya kupenda kujua mambo

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
1. Ni swali gani gumu kwako? Na ni kitu gani hupendi watu wakijue kukuhsu?
2. Ni kitu gani kimewahi kukufurahisha kwenye maisha yako ambacho huwezi kukisahau?

Sent using Jamii Forums mobile app
1.Mkuu akii sipendi wana jf wajue niko under 23
2. Mkuu kurejeshewa matumaini ya kurudi kusoma wee achaa tuuu

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Wewe ni member kule JLW? na kama ni member ni kitu gani kinakufanya uendelee kuwepo?

Inasemekana una iq nzuri (sina uhakika sababu iq haipimwi kwa uwezo wa kukariri) je ni nini kinacho verify ukubwa wa akili yako ama ni maneno ya watu?
 
1.Unaonekana unafuatiliaga sana movie jee ni ipi latest uliyoona ni kali?
2.Tukikukabidhi leo hii JF uwe mmiliki wake jee ni kitu gani ungeongeza na kipi ungeondoa na kwa nini uongeze hicho ama upunguze kile?
3.Kwa siku minimumu na maximumu unalala masaa mangapi?
4.Jee katika jamii inayokuzunga ni jambo gani hukukela zaidi pale unapoliona/kukumbana nalo?
5.Idea yako ya kutafri vitabu kuja lugha adhimu ya kiswali imefikia wapi?

End Justify Mean
Mkuu ukijibu na haya yangua naomba unitag

End Justify Mean
 
Wewe ni member kule JLW? na kama ni member ni kitu gani kinakufanya uendelee kuwepo?

Inasemekana una iq nzuri (sina uhakika sababu iq haipimwi kwa uwezo wa kukariri) je ni nini kinacho verify ukubwa wa akili yako ama ni maneno ya watu?
Mkuu mm ni memba kule.. na niliungwa bila kupenda. Sijui shida nn nikiomba kuungwa jukwaa la dini naungwa hadi kule.. nikitolewa huko hadi jukwaa la dini natolewa.
Mkuu mm sijui kama nina iq kubwa labda wanaonizunguka. Btw napenda vitu vinavyofikirisha ubongo zaid sio kukariri ndio maana masomo ya sekondari nilifeli. Hua sipend kukaririshwa syllabus

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom