KigomaShule gani na mkoa gani
Watu Wa kigoma walivo watata kusaka life nakubaliana na wewee100% mfano mzuri aiseKigoma
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Pole sanahata Ontario anasema anamiaka 23 wakati kazaliwa 1992, kama vipi tuwekee hapa vitambulisho vyako hapa kwenye majina ficha
Mkuu napenda kufanya Coding asee japo sijabahatika kusoma kitu hikoAvatar yako inanishawishi kusema unapenda IT, kama ni kweli utakua unaupenda upande gani wa IT?
Hongera bado kidogo upate 25, kuna thread moja uliomba kazi ulifanikiwa?4 ya 26
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
hili jibu limekaa ki bashite bashite mkuu ungenipa jibu tofauti nijiridhishePole sana
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Hapana sikufnikiwa mkuu nilipata wa kunitia moyo tu.. nilipotezea tuHongera bado kidogo upate 25, kuna thread moja uliomba kazi ulifanikiwa?
Sjamaanisha Jf but nawajua watu Wa kigoma kusaka life hawazubai km wengineNdio mkuu! Japo mm sisaki life JF
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Sawa mkuuMkuu huo ndio ukweli wenyewe june 10 natimiza 22
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Nitamsaidia..Unamsaidiaje kijana anaewaza kua na fikra pana p1 na maono ya kikubwa zaidi ili hali ubongo wake hauwezi kuchanganua mambo kiupana zaidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu..Sjamaanisha Jf but nawajua watu Wa kigoma kusaka life hawazubai km wengine
Hapana sina hata mpenziVp umeoa?
"ᵀʳʸ ⁿᵒᵗ ᵗᵒ ᵇᵉᶜᵒᵐᵉ ᵃ ᵐᵃⁿ ᵒᶠ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ᵇᵘᵗ ʳᵃᵗʰᵉʳ ᵗʳʸ ᵗᵒ ᵇᵉᶜᵒᵐᵉ ᵃ ᵐᵃⁿ ᵒᶠ ᵛᵃˡᵘᵉ✓"
Sawa.Hapana sina hata mpenzi
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk