JF Hard Talk "FaizaFoxy"

Mkuu umesoma Heading ya huu Uzi? Mbona tunaenda sawa tu na Madam mwenyewe wewe kinakukera nini.
 
Kupongezasyndrome!
 
Nimepitia pages kadhaa za darasa la Faiza, nimeona ulichoandika kuhusu elimu yako na swala la "Fax Ikulu Ya Mwinyi".

Sina uhakika kama lilitolewa ufafanuzi, kama ndiyo nitaomba samahani kwa kuuliza kitu ambacho kiko na ufafanuzi tayari.

Kuhusu Fax:
- Ulitengeneza, ulishauri inunuliwe ya aina fulani, ulifanya assemble, ulifanya installation.

Kuhusu elimu na uzoefu wa kazi:
- Umesema katika umri wa kuwa productive hukuwa Tanzania, je huko Canada uliwahi kufanya kazi ambayo ni related na ulichokisoma?

Kutakuwa na maswali ya nyongeza baada ya majibu.
 
Mkuu hakuna awamu mbaya iliyonyanyasa watoto wa kiislam kielemu huku inawachekea Kama awamu ya kwanza, naomba nikusaidie ukubali ukatae watoto Islam wanaakili Sana, yule anayeongoza madrasa hata shuleni anaongoza ila mmeaminishwa kwamba Islam hawana akili si kweli, niishie hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...
unakula nguruwe kama jibu ni ndio au hapana no kwa nini
 
Kipindi ni kizuri ila watu huwa na jazba ktk kuuliza kwao.
Mambo yapo mengi sana ya kutaka kuyajua kupitia mama yetu huyu lakini chuki, dharau na masikhara vinachukua nafasi. Tubadilike tutumie fursa.
 
Hapa umejibu vizuri

Lakini Unadhani nini kifanyike ili tuwe democratic country ya kikweli kweli, bila hizi elements za kikoloni ?!.

Na je Unadhani ni kwa nini CCM hawako tayari kwa katiba mpya ya wananchi ?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madame Nikupongeze kwa jitihada na uimara wako,hasa ktk kuitetea na kuwasemea wanaoonewa

~kwa nini huwa unamwita Baba wa Taifa...'Mzee Nyerere'
~je ungepata nafasi ya kumuuliza Mh.Rais swali kwa niaba ya wajasiriamali/wafanyabiashara wa kati..ungeuliza/ungeshauri/ungetaka nini kwa niaba yao.!??

~kwa nini wapinzani awamu hii wanapata tabu sana?
~je Leo hii ukitambua mwanao au mjukuu wako amejiunga na alshaabab/ISIS...utamshaurije?
~hatua zilizochukuliwa na serikali dhidi ya wale 'NDUGU zetu' wa kibiti waliokimbilia Msumbiji ni uonevu.!?




Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa nyie mnan'ang'ania madrasa mtafaulu vp,acha uongo eti anayeongoz madrasa na shuleni ataongoza huo ni uongo hata kama yupo basi ni mmoja kati ya milioni ,hakuna asiyejua mshika mawili moja humponyoka.kwanza ile kauli ya muislam ndugu yake ni muislam mnainyenyekea kama sala ya bwana ndo mana mnazidi kufeli maana mnashirikiana nyinyi kwa nyinyi kipofu anamuongoza kipofu.angalau siku hizi jamii imeamka uislam hauna nguvu kama zamani watu wamestuka kua walikua wanapotea ndio maana hata elimu imeamka
 
Hapa umejibu vizuri

Lakini Unadhani nini kifanyike ili tuwe democratic country ya kikweli kweli, bila hizi elements za kikoloni ?!.

Na je Unadhani ni kwa nini CCM hawako tayari kwa katiba mpya ya wananchi ?.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa mtazamo wangu, demokrasia ya kweli duniani hakuna kwani kila mmoja ana tafsiri ya demokrasia kivyake.

Binafsi ningependelea sana sheria ziwe juu ya kila mtu, si Rais, si yeyote yule na mahakama iwe huru haiingiliwi na yeyote yule.
 
Kwa mtazamo wangu, demokrasia ya kweli duniani hakuna kwani kila mmoja anatafsiri ya demokrasia.

Binafsi ningependelea sana sheria ziwe juu ya kila mtu, si Rais, si yeyote yule na iwe huru haiingiliwi na yeyote yule.
Uko mjanja sana. Mungu wa mbinguni akulinde [emoji120][emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kubwa ulilotaka kulisema ni juu ya Islam kuwa wamoja maana sijaona sababu ya wewe kuliingiza humo, Mimi nimezunguzia elimu huo umoja umeingiaje? Hata hivyo sikulazimishi uamini ninachokiongea wahusika wanajua hilo kwa heri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huo umeoja wa kijinga ndio unaowafelisha halafu mnalialia .mkristo ndugu yake ni binadamu yoyote
 
1) Heshima kubwa ya uzee anayo, angekuwa Muislam ningemuita Sheikh Nyerere, Sheikh kwa maana ya uzee wake. Kwa Tanzania nikimuita Sheikh sintoeleweka.

2) Ningemshauri afanye flat tax rate ya 10% across.

3) Tanzania hakuna "wapinzani" kuna wapingaji, ndicho kinachowapa taabu hicho.

4) Al shabab kwa maana ya ugaidi, ntalaani vikali sana.

5) Siwafahamu hao ndugu zenu waliokimbilia Msumbiji na sifahamu hizo "hatua walizochukuliwa".
 
Mwenyewe umekiri "wanapasua tu", huko "kupasua" kwao ndiko kulimfanya Ndalichako awapunguze speed.

Laiti ungefahamu maana ya madrasa ungetamani hata leo hii ukasome huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…