Asclepius
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 694
- 730
Kwa sababu ndivyo media inavyokuaminisha na wewe bila kufikiri unakubali tu, hata ukweli unapodhihiri wewe kwa kuwa umeshajazwa ujinga (brain washed) wewe huuamini tena wewe upo kwenye ujinga uliojazwa nao.
Mfano hai. USA imeishambulia Iraq na kuuwa zaidi ya watu million mbili, watoto wadogo pekee zaidi ya million moja kwa kisingizio kuwa kuna silaha za maangamizi. Ulikuwa ni uongo tu. Hao siyo magaidi? Gaidi atakuwa Muiraq aliyeuliwa watoto zake anapojitetea! Au sivyo hivyo?
Ndiyo maana nnawaambia kwanini hamuusomi Uislam bila hiyana? Soma: QuranIndex.Net
Mambo ya nchi za watu maybe i am brainwashed media maybe kuna wakristo wanajilipua na kuua mamia ya watu wasio na hatia ila media zinaniaminisha kua ni waislamu boko haraka waliteka wasichana 300 na kuwaua wengine kuwasilimisha maybe ni wakrsito pia just media zinani brain wash achana na ya juzi kenya
Acha niongelee mambo ya hapa nchini ishu ya mbagala ubishani wa watoto wawili wadogo kuhusu msahafu kumgeuza mtu chura ukiukojolea baada ya yule mtoto kuukojolea watu wazima wakaamka na hasira kali kuanza kuchoma makanisa sidhan kama biblia ingekojolewa tungeinuka kuchoma misikiti kwa sababu sisi tunahubiri amani
Hilo pia hao watoto sikuwaona kwa macho labda media ziliwapaka paka
Niloliona kwa macho kibiti high school waislamu walichoma moto shule baada ya vijana wachache kwenda kutumia vyombo vyao vya kulia chakula kuwekea nyama wanadai ya nguruwe na ushahidi kukosekana wa kuwafukuza hao vijana shule
Waislamu wakaamua kuchoma moto shule?
Je ni sahihi kwa kosa la vijana wachache ambao ushahidi wake si rahisi kupatikana kuamua kuchoma shule??
Sent from my iPhone using JamiiForums