Uongozi bado ni tatizo.Unahisi nin tatizo la nchi yetu kutokupiga hatua......?? Nini njia za kutatua..
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuja tu kesho asubuhi na mapema hapaHahahahaha lol! Sitaki apitwe na uzi huu wa mwanachama pendwa wa JF.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sawa
She ambae hana chura kama wewe hatakiwi hapa!Heee niko apa ww kizee nakusoma
Kuna changamoto 1 kubwa kwangu mimi binafsi.Mkuu kulingana na taaluma yako ni ipi iliochangamoto kubwa unayopitia uwapo katika majukumu yako ya kikazi.
Ahsante.
Atakuja tu kesho asubuhi na mapema hapa
Kati ya uongozi na sheria zinazosimamia uongozi..mf. Katiba.. Kipi ni tatizo?Uongozi bado ni tatizo.
Uongozi inatakiwa ni ule wenye kuonesha njia za mafanikio.
Uongozi ni hekima, busara na upendo kwa wote anaowaongoza.ukikutana na Rais JPM utamwambia nini?
Unajiskiaje wanafunzi wanaochaguliwa Muhas toka mwaka 2015 kukosa mikopo kwa wingi sana?
Sawa
Wagonjwa wanaotendewa hivyo unawashauri kufungua kesi dhidi ya madaktari na wizara ya afya?Kwa maadili ya Afya lazima pawepo na ruhusa ya mgonjwa au ndugu(kwa wagonjwa ambao hawajitambui au watoto)
Bila idhini ni kosa.
Japo hiyo ilikuwa ni mbinu yangu binafsi.Asante sana kwa maelezo yaliyojitosheleza.
Chaguo lako la Shule likakutoa kutoka Uhandisi kwenda Afya.....
Je unafikiri ni mfumo wetu wa Elimu haujajikamilisha mpaka ukapitia hiyo changamoto?
Nina hakika wengi tu wamepitia njia uliyopitia....Any regrets?
MfyuuShe ambae hana chura kama wewe hatakiwi hapa!
Ukiwa na ratiba konki lazima uifuate mkuuHuyo saa 1 usiku tu kishapanda kitandani saa 1 na dakika 4 yuko fofofo discpline yake inaniacha hoi. Naamini kesho asubuhi atapita hapa.