little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Roman Catholiki walikosea wapi mpaka Martin Luther akaamua kujitoa?Katika kanisa la kilutheri wanafata maandiko ya bible kama yalivo, na kama wakiwa wanakosea sehemu, msharika yeyote anayo haki ya kulikosoa kanisa kwa kutumia kifungu cha biblia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndiyo unaponikoshaa Zitto JrKwanza shukrani kwa kufuatilia mada zangu,
Theology sijasomea ila nilikua na interest sana na mambo ya imani hivyo katika pita pita zangu nikapenda kujifunza zaidi kuhusu imani niliozaliwa nayo kupitia wazangu wangu (ukristo) hivyo ndio nikaanza kufuatilia baadhi ya mambo na nikajenga interest sana kwenye topic hiyo.
''Library'' yangu kwanza inatisha maana inajaa vitabu vya mystery na horror.... Mfano angeology (elimu ya malaika ), greek mythology,apocrypha,Bible,mystery za ajabu mfano bermuda triangle n.k zaidi ya hapo ni vitabu vya historia ahasa ancient history kma egyptology,ancient african empires,middle east history n.k
Yaaani mule mule umepita nimefany kufuta comment angu maana umemaliza kila kitu kwangu ilikua repetition tu....mi nachoona kila kitabu ni sahihi kwa matumizi ya imani husika,90%ya imani zetu xpecial tz ni urithi/adopted kutoka kwa wazazi/walezi fanya tafiti au mtu aseme asili ya imani ake leo hii kapata wapi utasikia toka mdogo baba/mama/mjomba n.k ndo nimefuata/amekuzwa nayo so usahihi wa kitu unachangiwa zaidi na imani ako uliokuzwa nayo....na sis wengine ambao kwa mfano mimi ni pure cristian kwa baba na mama Lutheran nimekuzwa uko kuanzia sunday school mpaka kipaimara na nilikua muumin hasa wa kuchimba mafundisho niliefunzwa,baadae advance nkasoma kiundani zaidi katika history ya ukoloni na mbinu mojawapo kueneza ilikua kupitia dini sana sana wa missionary ila b4 tulikua na maisha na maitaji yao ya kila siku walipata kwa imani yao ya mizimu....ndo apo nilipoanza kuzama zaidi kujua kipi dhamira kuu hasa,imani gani sahihi....so tunapohoji vile msivotaka kuvisema sio ni wapinga dini but tunaitaje kuelewa beyond the doubts....
Wengi wetu tujiulize leo hii wazazi/walezi wetu since childish wangekua dini tofauti na uliorithi leo ungekua wapi?na bado ulionaya saiv ungesema si sahihi...na wangapi kati yetu baada ya kuwa na ufahamu na uelewa wao wameacha imani walizokuzwa nao na kwenda imani nyingine kwa akili zao timamu??
Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
Roman Catholiki walikosea wapi mpaka Martin Luther akaamua kujitoa?
Tuna kusomaNi mtanzania kabisa.... Baba yangu ni mkurya wa mkoa wa mara na mama yangu ni Muha wa kalinzi,kigoma
makazi yangu kwa sasa ni mkoa wa Dar ndipo nafanya shughuli zangu.
Kwa JF makazi yangu ni JF intelligence wadau wa kule watakuwa wamenisoma
Hapa umepotokaMkuu siamini dhehebu litatupeleka mbinguni ila nmejikita zaidi mwaka huu kujifunza maandiko (ndio nimeanza darasa rasmi la Biblia) ili nijisimamie kiroho mwenyewe otherwise madhehebu yote yapo sawa tu kikubwa Watende matendo mema na kumtegemea Mungu mengine ni "mbwembwe " tu
Naam.Ningependa kujua walau hilo jambo moja.Alikua na sababu tano, ambazo sita zisema kwa sasa kwani Catholiki mmekwisha fanya malekebisho katika mambo hayo, ni mambo yaa zaman sana ambayo kanisa lilikua likikosea.
Lakin hadi sasa yapo baadhi ambayo kanisa catholiki haliend sawa.
Naweza kukutajia moja wapo la wakati huu, yalio pita achana nayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam.Ningependa kujua walau hilo jambo moja.
Hapo. zitto junior. Anatuaminisha hata dhehebu la mchungaji Tito wa dodoma lipo sahihi au wale wa Africa ya kusini wanaofanya mapenzi ibadani.
Sio kanisa Catholic peke yake madhehebu mengi ya ki Kristo yanaendesha Mambo kwa misingi ya faida binafsi wamepoteza uhalisia wa mafundisho ya BibliaKatika kanisa la Catholic ni kanisa ambalo wakristo wake hawashiriki kikamilifu Meza ya bwana.
Yani kuula mwili wake Yesu na kuinywa damu yake,
Kwa kula na kunywa mkate na divai.
Ni wazi katika hili kwa kanisa hili, kumekua na kipindi cha
wakristo hupewa mkate pekee na divai kuishia kuisikia kwenye bomba tu.
KAMA UNAFAHAMU KWANN TUNASHILIKI MEZA YA BWANA, UTAJUA NI KWANN KUNA UMUHIMU MKUBWA WA KUFANYA JAMBO HILI NA KWA UKAMILIFU
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kanisa Catholic peke yake madhehebu mengi ya ki Kristo yanaendesha Mambo kwa misingi ya faida binafsi wamepoteza uhalisia wa mafundisho ya Biblia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia maisha ya useja yalimshinda Martin Luther.Alianzisha mtafuruku ili aoe.Katika kanisa la Catholic ni kanisa ambalo wakristo wake hawashiriki kikamilifu Meza ya bwana.
Yani kuula mwili wake Yesu na kuinywa damu yake,
Kwa kula na kunywa mkate na divai.
Ni wazi katika hili kwa kanisa hili, kumekua na kipindi cha
wakristo hupewa mkate pekee na divai kuishia kuisikia kwenye bomba tu.
KAMA UNAFAHAMU KWANN TUNASHILIKI MEZA YA BWANA, UTAJUA NI KWANN KUNA UMUHIMU MKUBWA WA KUFANYA JAMBO HILI NA KWA UKAMILIFU
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia maisha ya useja yalimshinda Martin Luther.Alianzisha mtafuruku ili aoe.
Mkuu tutabadili maana nzima ya huu uzi..Katika kanisa la kilutheri wanafata maandiko ya bible kama yalivo, na kama wakiwa wanakosea sehemu, msharika yeyote anayo haki ya kulikosoa kanisa kwa kutumia kifungu cha biblia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Like seriously unaamini kujua 'tunda' lililoliwa hakuna maana duniani!?..Hivi ukijua Adam na Hawa walikula tunda gani
Apple au embe au komamanga au pera inakusaidia nn? maishan mwako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Like seriously unaamini kujua 'tunda' lililoliwa hakuna maana duniani!?..