JF Hard Talk "Zitto junior"

JF Hard Talk "Zitto junior"

1.Ningependa kujua zitto junior ana taaluma ipi na kafikia level gani?

2. Zitto junior unazungumziaje juu ya kitabu cha Henoko ni kweli au si kweli? Pia vipi kuhusu DAVID ICKE unamzungumziaje na theory zake anazotoa?...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza shukrani kwa kufuatilia mada zangu,

Theology sijasomea ila nilikua na interest sana na mambo ya imani hivyo katika pita pita zangu nikapenda kujifunza zaidi kuhusu imani niliozaliwa nayo kupitia wazangu wangu (ukristo) hivyo ndio nikaanza kufuatilia baadhi ya mambo na nikajenga interest sana kwenye topic hiyo.

''Library'' yangu kwanza inatisha maana inajaa vitabu vya mystery na horror.... Mfano angeology (elimu ya malaika ), greek mythology,apocrypha,Bible,mystery za ajabu mfano bermuda triangle n.k zaidi ya hapo ni vitabu vya historia ahasa ancient history kma egyptology,ancient african empires,middle east history n.k
Hapo ndiyo unaponikoshaa Zitto Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamm endapo ningekua na dini ambayo inamapungufu, hakika nisinge jiita mkristo, ningekomaa na upagani tu.

Hadi pale MUNGU angeamua kunionesha njia ipasayo yeye mwenyewe,

Niseme kitu, BIBLE tunaisoma ili itusaidie katika maisha yetu ya kila siku.

Sasa naomba siku ukipata mafundisho ambayo yanamfundisha binadamu na mafundisho hayo hayapo kwenye bible, naomba uniletee, nione kama kweli fundisho hilo halipo kabisa kwenye bible,
HAPO NDIO NITASHAWISHIKA KUSOMA VITABU NJE NA BIBLIA

Maana lengo ni moja MAFUNDISHO, Unaongeza maarifa na hekima pamoja na ukaribu na MUNGU ili kuweza kupeleka shida zetu kwake ambazo kibinadamu hatuwezi kutatua kwa nguvu zetu.
Yaaani mule mule umepita nimefany kufuta comment angu maana umemaliza kila kitu kwangu ilikua repetition tu....mi nachoona kila kitabu ni sahihi kwa matumizi ya imani husika,90%ya imani zetu xpecial tz ni urithi/adopted kutoka kwa wazazi/walezi fanya tafiti au mtu aseme asili ya imani ake leo hii kapata wapi utasikia toka mdogo baba/mama/mjomba n.k ndo nimefuata/amekuzwa nayo so usahihi wa kitu unachangiwa zaidi na imani ako uliokuzwa nayo....na sis wengine ambao kwa mfano mimi ni pure cristian kwa baba na mama Lutheran nimekuzwa uko kuanzia sunday school mpaka kipaimara na nilikua muumin hasa wa kuchimba mafundisho niliefunzwa,baadae advance nkasoma kiundani zaidi katika history ya ukoloni na mbinu mojawapo kueneza ilikua kupitia dini sana sana wa missionary ila b4 tulikua na maisha na maitaji yao ya kila siku walipata kwa imani yao ya mizimu....ndo apo nilipoanza kuzama zaidi kujua kipi dhamira kuu hasa,imani gani sahihi....so tunapohoji vile msivotaka kuvisema sio ni wapinga dini but tunaitaje kuelewa beyond the doubts....


Wengi wetu tujiulize leo hii wazazi/walezi wetu since childish wangekua dini tofauti na uliorithi leo ungekua wapi?na bado ulionaya saiv ungesema si sahihi...na wangapi kati yetu baada ya kuwa na ufahamu na uelewa wao wameacha imani walizokuzwa nao na kwenda imani nyingine kwa akili zao timamu??

Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikua na sababu tano, ambazo sita zisema kwa sasa kwani Catholiki mmekwisha fanya malekebisho katika mambo hayo, ni mambo yaa zaman sana ambayo kanisa lilikua likikosea.

Lakin hadi sasa yapo baadhi ambayo kanisa catholiki haliend sawa.

Naweza kukutajia moja wapo la wakati huu, yalio pita achana nayo.
Roman Catholiki walikosea wapi mpaka Martin Luther akaamua kujitoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikua na sababu tano, ambazo sita zisema kwa sasa kwani Catholiki mmekwisha fanya malekebisho katika mambo hayo, ni mambo yaa zaman sana ambayo kanisa lilikua likikosea.

Lakin hadi sasa yapo baadhi ambayo kanisa catholiki haliend sawa.

Naweza kukutajia moja wapo la wakati huu, yalio pita achana nayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naam.Ningependa kujua walau hilo jambo moja.
 
Katika kanisa la Catholic ni kanisa ambalo wakristo wake hawashiriki kikamilifu Meza ya bwana.

Yani kuula mwili wake Yesu na kuinywa damu yake,
Kwa kula na kunywa mkate na divai.

Ni wazi katika hili kwa kanisa hili, kumekua na kipindi cha
wakristo hupewa mkate pekee na divai kuishia kuisikia kwenye bomba tu.

KAMA UNAFAHAMU KWANN TUNASHILIKI MEZA YA BWANA, UTAJUA NI KWANN KUNA UMUHIMU MKUBWA WA KUFANYA JAMBO HILI NA KWA UKAMILIFU
Naam.Ningependa kujua walau hilo jambo moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kanisa la Catholic ni kanisa ambalo wakristo wake hawashiriki kikamilifu Meza ya bwana.

Yani kuula mwili wake Yesu na kuinywa damu yake,
Kwa kula na kunywa mkate na divai.

Ni wazi katika hili kwa kanisa hili, kumekua na kipindi cha
wakristo hupewa mkate pekee na divai kuishia kuisikia kwenye bomba tu.

KAMA UNAFAHAMU KWANN TUNASHILIKI MEZA YA BWANA, UTAJUA NI KWANN KUNA UMUHIMU MKUBWA WA KUFANYA JAMBO HILI NA KWA UKAMILIFU


Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kanisa Catholic peke yake madhehebu mengi ya ki Kristo yanaendesha Mambo kwa misingi ya faida binafsi wamepoteza uhalisia wa mafundisho ya Biblia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kanisa la Catholic ni kanisa ambalo wakristo wake hawashiriki kikamilifu Meza ya bwana.

Yani kuula mwili wake Yesu na kuinywa damu yake,
Kwa kula na kunywa mkate na divai.

Ni wazi katika hili kwa kanisa hili, kumekua na kipindi cha
wakristo hupewa mkate pekee na divai kuishia kuisikia kwenye bomba tu.

KAMA UNAFAHAMU KWANN TUNASHILIKI MEZA YA BWANA, UTAJUA NI KWANN KUNA UMUHIMU MKUBWA WA KUFANYA JAMBO HILI NA KWA UKAMILIFU


Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia maisha ya useja yalimshinda Martin Luther.Alianzisha mtafuruku ili aoe.
 
HHahahaaaaa
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1]
Ni mengi sana yanaweza kusemwa,
kwan wapinga kristo wapo wengi sana dunian,
na madhehebu yanayo kosea ni mengi sana dunian.

Muhimu kufanya kama ilivo andika bible.

Kuna siku niliyasikia haya katika redio,
radio channel- FARAJA FM, NI radio ya wakatolic

Siku hiyo katika hicho kipind walisema mjue Martin Luther

Wakanza kusema sifa zake:

-alikua akivuta sigara lakini hakuwahi kuonekana na mtu yeyote kuwa alikua kivuta sigara.
-Aliwahi kujarbu kujinyonga baada ya kifo cha bibi yake.
-Alikua na.akili sana kwakupata masomo yake yote A, lakini alifall somo moja la COMMUNICATION kwa kupata alama C ila masomo mengine yote alikua ni A mwanzo mwisho.

Sifa zingine walizo toa nimezisahau, lakini zilifika kama 5 tu, na zote ni kuonesha weakness za jamaa.

Sasa yeye hata kama alikua mpiga punyeto mm sitaki kujua.
Hayo ni yake.
Mengi hsemwa duniani kwani..
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Ya mwanadamu ni mengi,
Ya MUNGU ni mema na matakatifu,
ya mwanaume ni makagale,
Cha mwanamke ni kibwenye,
naya kuku ni mayai.
Nasikia maisha ya useja yalimshinda Martin Luther.Alianzisha mtafuruku ili aoe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom