JF HARDtalk na "Mshana JR"

Naomba uutupie tena huo uzi wa kuomba msamaha.

Swali.
Je, ni kweli kwamba ikulu ya raisi inalindwa na nguvu za giza??? Na kwamba hata raisi naye huwa na mifumo hiyo???

Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu ya ikulu ni ishu ya mamlaka, yeyote anayeitwa rais yupo kimamlaka... Mamlaka hairogwi... Mengine ni mambo binafsi ngumu kuyajua

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…