Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Je, kuna ukweli wowote ukilala na kipande cha mkaa chini ya mto wachawi wakija kukuwangia huona moto kitandani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Umetisha Mkuu, naona umeminya kiaina wale waliotaka kusarandia wa moyo wako wakikusoma hapo juu wataachana na dhana ya mtongozo. Hukawii kuwalaza makaburini uchi wa mtu!!!
Dah! Haya makitu mie ningeyajua ningeogopa sana kuyatumia. Kumdhuru mtu hata aliyenikosea nisingeweza aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii kweli ni #Jf_HardTalk# maana hadi saizi ni mwendo wa kutwanga maswali na mhusika anayajibu
Hapana ni imani tu.. Ili hicho kipande kipate nguvu tajwa inabidi ukineneeJe, kuna ukweli wowote ukilala na kipande cha mkaa chini ya mto wachawi wakija kukuwangia huona moto kitandani
Unajua kisiwa cha Gamboshi nilidhania kipo duniani ktk ulimwengu wa mwili,kumbe sio.Niliyasikia mazungumzo ya msukule mmoja aliyerudishwa na Gwajima ambaye alikaa kisiwa cha gamboshi miaka 12,ni kisiwa cha wachawi na cha hatari.Mshana kwa busara zako tueleze habari za gamboshi kama unaifahamu.
Kuna gamboshi mbili ya nuru na ya giza zote zipo na zina existUnajua kisiwa cha Gamboshi nilidhania kipo duniani ktk ulimwengu wa mwili,kumbe sio.Niliyasikia mazungumzo ya msukule mmoja aliyerudishwa na Gwajima ambaye alikaa kisiwa cha gamboshi miaka 12,ni kisiwa cha wachawi na cha hatari.Mshana kwa busara zako tueleze habari za gamboshi kama unaifahamu.
Funguka Mshana unajua mada zako zinafurahishaKuna gamboshi mbili ya nuru na ya giza zote zipo na zina exist
Jr[emoji769]
Yaani kuna gamboshi halisi kama kijiji chenye wakazi wanaoendesha maisha yao kawaida kama vijiji vingine tu halafu kuna gamboshi kama kilinge cha wachawi na washirikinaFunguka Mshana unajua mada zako zinafurahisha
InategemeaDuuh, si mchezo.
Huwa unatafri ndoto? Kwa mfano nimeota ndoto nikikusimulia unaweza kunitafsiria?
Hapa ndo pana swali langu Mshana Jr wewe umesema ni mkristo. Kwa uelewa wangu meditation huwa mara nyingi inafundishwa sana na Buddha (Buddhism), sasa kwa upande wako wewe meditation ni moja ya sala (maombi) au ni upande wa pili (uchawi), pia kama ni sala au maombi ningependa kujua dhehebu gani la kikristo linafundisha meditation?Tutaendelea baadae naingia meditation
Jr[emoji769]
Meditation nifanyayo mimi haiko attached na imani yoyote.. Ni kwa ajili ya afya tu... Na maranyingi baada ya meditation hufanya sala na maombi kwa imani yangu ya KikristoHapa ndo pana swali langu Mshana Jr wewe umesema ni mkristo. Kwa uelewa wangu meditation huwa mara nyingi inafundishwa sana na Buddha (Buddhism), sasa kwa upande wako wewe meditation ni moja ya sala (maombi) au ni upande wa pili (uchawi), pia kama ni sala au maombi ningependa kujua dhehebu gani la kikristo linafundisha meditation?
Sijajibiwa swali hili mkuu .Changamoto/tukio gani lililowahi kukutokea kwenye moja ya kazi zako tajwa hapo juu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Meditation nifanyayo mimi haiko attached na imani yoyote.. Ni kwa ajili ya afya tu... Na maranyingi baada ya meditation hufanya sala na maombi kwa imani yangu ya Kikristo
Jr[emoji769]
JF; The only place you can meet real beautiful women - JamiiForumsMkuu Mshana Jr hapo last year kuna habari zilivuma sana kwamba unamtembezea moto dem flani hivi maarufu humu JF... Je ni kweli?
Na kama Ndiyo, Mmefikia wapi so far maana alianzisha uzi kuwa mmetemana?
Kama Mmetemana shida ilikua nini?
Wakati ukidate nae mkeo alikua wapi na ulikua umemuweka kundi gani?
Kupitia mwanamke huyo na huenda wengine wengi uliopita nao humu JF unawazungumziaje wanawake wa humu?
cc: GuDume