Msimamo wangu ni ule ule: tunahitaji mabadiliko makubwa sana kwenye mfumo wa elimu kama tunataka kwenda na kasi ya dunia.
Wasomi wa Uchina wamesema kwamba ndani ya miaka kumi hadi kumi na tano kuna taaluma zaidi ya 15 ambazo zitapotea kutokana na kuzaliwa kwa Artificial Intelligence. Kama nchi sisi tumejiandaa vipi ???