JF ilivyoua huba langu

Maki hakika hili ni pepo..
Hajanipigia simu tangu asubuhi tayari kisirani kinakaba roho[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]nimefura
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nacheka hapa mimi....
Hiki Kisirani nilijua ni mimi tu....kumbe ni kila mahali...

Maana vituko ninavyomfanyia huyu Mtoto wa Mtu hadi namuonea huruma..
 
Mapenzi yanaitaji uwe open kama hujaniuliza abadani siwezi kukwambia mbn tunaambiwa wanaume wote waliopo ktk mitandao ya kijamii wote Malaya kwani ni kwer😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…