JF ilivyoua huba langu

Cc Miss Natafuta
 
Unaingia jf unakuta Uzi mrefu kma mkojo wa asubuhi kutoka Kwa x wako 😀😀😀
😂😂😂Watu majibu yenye mfano wa kinyesi kigumu kinachonatoka kwa mafungu Uzi huo unakuaje mrefu kiasi hiko
 
Unaingia jf unakuta Uzi mrefu kma mkojo wa asubuhi kutoka Kwa x wako 😀😀😀
Hahaha............kukuta habari za Mzee kama mimi mwenye miaka 78 humu haitakuwa vizuri, itabidi Wajukuu wajifunze kuwa na Vifua vya kutunza mambo Otherwise mtatuua kwa Presha 🤪
 
Sisi ndio walewale wa Kwa mwamposa,misikitini na hata makazini...sa itakuwaje?
 
😁😁😁Lakini bado unamkumbuka mpaka unamuanzishia uzi? JF ni sehemu nzuri sana Miss Desperado
Kumkumbuka sio kwamba ndio nampenda bwana....nampenda bby wangu despr🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…