JF ilivyoua huba langu

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Hivi ule upepo wa kisuri Suri we ulikupita mbali
Upepo wa Kisuri suri ilikuwa ni kwa Mabinti na Wanawake, Sisi Wanaume ilikuwa ni suala la kuongeza Wake.

Bahati Mbaya Dini yetu inatutaka tuwe na Mke Mmoja hivyo tulibaki kama ndugu watazamaji katika Imani ๐Ÿ˜
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Kwani atajioa nakujipa utamu yeye naona wadhungu wazidi kutuharibu mbogo zetu kuwaletea mashine ya kufanya mapenzi inamaana tulizo nazo zitakua na kazi gani
Dadamtu hana shida na mtu wala, kwanza ye mgeni humu๐Ÿคฃ
 
Upepo wa Kisuri suri ilikuwa ni kwa Mabinti na Wanawake, Sisi Wanaume ilikuwa ni suala la kuongeza Wake.

Bahati Mbaya Dini yetu inatutaka tuwe na Mke Mmoja hivyo tulibaki kama ndugu watazamaji katika Imani ๐Ÿ˜
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐ŸฅบKwer kipindi kile mlikua kina mtoto Iddy wazee wakuzua balaa sasa wakati wa selemani
 
Kwanza mimi binafsi napenda mdada awe mjanja... Hao wasikutishe, ukiona mtu anahukumu kitu hasichokuwa na uhakika nacho huyo ni mshamba... Sasa JF si ni kama Twitter tu
 
JF bana kiukwel tangu nlpoanza kuifatilia nmebadilika kdg nmekuwa mtu nnae jiamn sana afu mbishi na sasa nmefankiwa kujiunga rasmi , na nikiona mtu yupo humu bas moja kwa moja huyo atakuwa anajua vtu vng afu ni mjuaje kiree
 
Kwanza mimi binafsi napenda mdada awe mjanja... Hao wasikutishe, ukiona mtu anahukumu kitu hasichokuwa na uhakika nacho huyo ni mshamba... Sasa JF si ni kama Twitter tu
Kwer kabisa mkuu imevurugwa saiv
 
JF bana kiukwel tangu nlpoanza kuifatilia nmebadilika kdg nmekuwa mtu nnae jiamn sana afu mbishi na sasa nmefankiwa kujiunga rasmi , na nikiona mtu yupo humu bas moja kwa moja huyo atakuwa anajua vtu vng afu ni mjuaje kiree
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Yemwamba kumbe twabhaye kumwe tulisongeshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ