Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kumbe ndio wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upepo wa Kisuri suri ilikuwa ni kwa Mabinti na Wanawake, Sisi Wanaume ilikuwa ni suala la kuongeza Wake.😂😂😂 Hivi ule upepo wa kisuri Suri we ulikupita mbali
Kumbe mtoto ana lala na nini😂Kumbe ndio wewe
😂😂😂😂🥺Kwer kipindi kile mlikua kina mtoto Iddy wazee wakuzua balaa sasa wakati wa selemaniUpepo wa Kisuri suri ilikuwa ni kwa Mabinti na Wanawake, Sisi Wanaume ilikuwa ni suala la kuongeza Wake.
Bahati Mbaya Dini yetu inatutaka tuwe na Mke Mmoja hivyo tulibaki kama ndugu watazamaji katika Imani 😁
Weeee humu hawana ugeni wa kamba ktk miguu😂Dadamtu hana shida na mtu wala, kwanza ye mgeni humu🤣
Ziwa, titi, nyonyo mdomoniKumbe mtoto ana lala na nini😂
Hatari sana 🤪😂😂😂😂🥺Kwer kipindi kile mlikua kina mtoto Iddy wazee wakuzua balaa sasa wakati wa selemani
😂😂😂😂Sasa sisi tunalala na nini mitoZiwa, titi, nyonyo mdomoni
Mtajua wenyewe😂😂😂😂Sasa sisi tunalala na nini mito
🙄 DuhHatari sana 🤪
Kwanza mimi binafsi napenda mdada awe mjanja... Hao wasikutishe, ukiona mtu anahukumu kitu hasichokuwa na uhakika nacho huyo ni mshamba... Sasa JF si ni kama Twitter tuSamaleko,
Basi bwana, miaka kadhaa nyuma nilikuwa na Id yangu xxxx, haikuwa Maarufu hata kidogo, nilikuwa napenda kumchangia kidogo kwenye Jukwaa la siasa, intelligence na international news na History.
Sasa Maulid moja akaja ex shemeji yenu kunitembelea, kwa kawaida nikiwa nyumbani napenda sana kumsikiliza Country music, basi nikawa nimewasha laptop zile miziki zinaimba, halafu tab nyingine nilifungua JF, sasa yule bwana alivyofika Mimi napikapika akasema bwana mi natoa Hawa wababu wako.
Nia abadilishe aweke miziki anayopenda yeye, mimi Niko zangu napikapika, basi Ile anaendelea kushikashika laptop nikasikia naulizwa.
Baby una account Jamii forum? Mi kiroho safi nikamjibu eeh mbona siku nyingi😁😁 Eeeeeh bwana nilisimangwaaa, nilisomewa risala, niliambiwa sifai kabisa, mimi sio wife material, maana mke wa mtu hawezi kuwa member wa JF.
Basi kila mkitofautiana utakisia wewe umeshaharibika sababu ya JF🙄,ikawa JF, JF, JF sipumui, mpaka safari ikaishia njiani.
Sasa nikawa nashangaa Ina maana wadada tulio JF tuna tabia mbaya kiasi hiki🤣? Eti kina kaka mkigundua wapenzi zenu ni member wa JF mtakasirika?
NB: Nilihisi lazima na yeye ni member humu ila sijui ID yake, nikabadili zangu ID chaaaa.
Happy Maulid to all.
Msaada plz nami nilale na ziwa na mloweko wa Hali ya juu 😋Mtajua wenyewe
Mimi mtoto natakiwa ninyonyeMsaada plz nami nilale na ziwa na mloweko wa Hali ya juu 😋
Kwer kabisa mkuu imevurugwa saivKwanza mimi binafsi napenda mdada awe mjanja... Hao wasikutishe, ukiona mtu anahukumu kitu hasichokuwa na uhakika nacho huyo ni mshamba... Sasa JF si ni kama Twitter tu
😂😂😂😂Yemwamba kumbe twabhaye kumwe tulisongesheJF bana kiukwel tangu nlpoanza kuifatilia nmebadilika kdg nmekuwa mtu nnae jiamn sana afu mbishi na sasa nmefankiwa kujiunga rasmi , na nikiona mtu yupo humu bas moja kwa moja huyo atakuwa anajua vtu vng afu ni mjuaje kiree
Ww lugha gn sasa hii umeandka !? 😲😂😂😂😂Yemwamba kumbe twabhaye kumwe tulisongeshe
😂😂😂😂Kiswahili mzeeWw lugha gn sasa hii umeandka !? 😲
Aah mazeeh hpn sio kwel au na ww nd wale vijana wa hovyo wa Chugga!?😂😂😂😂Kiswahili mzee