JF ilivyoua huba langu

JF ilivyoua huba langu

Yaani angenikiuta na hii ID ya sa hivi ilivyohuru ndio angezimia😁😁
🤣🤣 maana kwenye hii ID ndiyo umechachuka zaidi ya ile.

Wanawake wengi husema mwanamume anayemchunga mke au mpenzi wake ni insecure na hajiamini ila kiukweli mwanamume anayempenda mpenzi wake huwa anapenda kujua mienendo ya mwanamke wake.

Tumeumbwa tuwalinde wapenzi wetu wasitoke nje ya himaya yetu, tupo hivyo.

Angalia hata wanyama dume wanavyokuwa makini na majike yao
 
Hii haiendi bila mwaliko, fanya mpango wa location nifanye kuja kuonja mapishi ya Mjukuu 🤗

========
Binafsi sioni shida kuwa na Mahusiano na mtumiaji wa JF, shida yangu ni ile mibebisho mnayofanyiana humu.

Yaani kama una roho nyepesi unaweza kukuta unampiga mtu Risasi bila kukusudia 🙌
Roho inauma,wivu huna!
 
Kwa kweli alitafuta sababu sio siri🤣🤣🤣
Si ndio hivi mzaramo Leo nimekumbuka nimemleta kilingeni wazaramo wenzangu mshughulike nae🤣🤣🤣
Mwambie sisi ndio wale wale wa insta, twitter na jf. Tunabadilika kutokana na mazingira

Na kwa alivyo na gubu atakuwa Mpwayungu huyu 😂😂
 
🤣🤣 maana kwenye hii ID ndiyo umechachuka zaidi ya ile.

Wanawake wengi husema mwanamume anayemchunga mke mpenzi wake ni insecure na hajiamini ila kiukweli mwanamume anayempenda mpenzi wake huwa anapenda kujua mienendo ya mwanamke wake.

Tumeumbwa tuwalinde wapenzi wetu wasitoke nje ya himaya yetu, tupo hivyo.

Angalia hata wanyama dume wanavyokuwa makini na majike yao
Hii I'd Haina baya!inajiishia maisha ya ukweli.....
Kwa hiyo unataka kusema alikuwa ananipenda sana si ndio?
 
Weeee Twitter huko ndyo hapafai kabisa japo sina account ila naona bora jf kuliko twitter
Wana thread zao za watoto wamelala ni porno tupu mbwa wale.
Twitter ilikuwa zamani hii ya ss hivi imekuwa ya hovyo
 
Roho inauma,wivu huna!
Kwa umri wangu wa Uzee nilionao, nilihisi labda sitakuwa na Wivu kumbe nilikuwa najidanganya Bwana

Kuna siku nilishatoa Gobole langu kabisa ila baada ya kufikiri miaka 78 niliyonayo nikaona si busara kumalizia Uzee wangu Jela 🤪

Ila it real hurts 😪
 
Hii I'd Haina baya!inajiishia maisha ya ukweli.....
Kwa hiyo unataka kusema alikuwa ananipenda sana si ndio?
Hakika alikupenda na anajua humu jf sio mahali salama kivile

Kwa hiyo alikuwa anahangishwa na hilo jambo akilini mwake alijiuliza je, mpenzi wangu atakuwa salama kweli?
 
😁😁😁

Ninpendekaaaa sema huu mmea wa chokochoko itabidi niunyime maji ili ukufe Kwa ukame 😆😆😆
Unyime kabisa maji,Huo mmea usikuharibie huba lako
 
Samaleko,

Basi bwana, miaka kadhaa nyuma nilikuwa na Id yangu xxxx, haikuwa Maarufu hata kidogo, nilikuwa napenda kumchangia kidogo kwenye Jukwaa la siasa, intelligence na international news na History.

Sasa Maulid moja akaja ex shemeji yenu kunitembelea,Kwa kawaida nikiwa nyumbani napenda sana kumsikiliza Country music,basi nikawa nimewasha laptop zile miziki zinaimba,halafu tab nyingine nilifungua JF,Sasa yule bwana alivyofika Mimi napikapika akasema bwana mi natoa Hawa wababu wako,

Nia abadilishe aweke miziki anayopenda yeye,Mimi Niko zangu napikapika,basi Ile anaendelea kushikashika laptop nikasikia naulizwa.

Baby una account Jamii forum?
Mi kiroho safi nikamjibu eeh mbona siku nyingi😁😁
Eeeeeh bwana nilisimangwaaa,nilisomewa risala,niliambiwa sifai kabisa,Mimi sio wife material,maana mke wa mtu hawezi kuwa member wa JF.

Basi kila mkitofautiana utakisia wewe umeshaharibika sababu ya JF🙄,ikawa JF,JF,JF sipumui,mpaka safari ikaishia njiani...

Sasa nikawa nashangaa Ina maana wadada tulio JF tuna tabia mbaya kiasi hiki🤣??eti kina kaka mkigundua wapenzi zenu ni member wa JF mtakasirika?

NB:nilihisi lazima na yeye ni member humu ila sijui ID yake,nikabadili zangu ID chaaaa..

Happy Maulid to all
nawe wa ajabu, huku jf id ni feki kisha mtu anakuuliza unakubali kuwa umo jf?😀
 
Kwa umri wangu wa Uzee nilionao, nilihisi labda sitakuwa na Wivu kumbe nilikuwa najidanganya Bwana

Kuna siku nilishatoa Gobole langu kabisa ila baada ya kufikiri miaka 78 niliyonayo nikaona si busara kumalizia Uzee wangu Jela 🤪

Ila it real hurts 😪
Ulitaka ukampopoe mtu na gobole?
 
Back
Top Bottom