JF ilivyoua huba langu

JF ilivyoua huba langu

Chizi huyo, hapo kakuta una akaunti JF angekukuta upo tinder huko si angeruka kimasai.😂🤣
 
Atarudi, nasema hivi atarudi tena...halafu..halafu😁😁😁😁🤣
Anarudi wapi?
Hivi ulishawahi kuangalia Titanic zaidi ya mara Moja?Hamna kinachobadilika meli lazima izame,Jack lazima afe,na rose abaki mpweke!achana na mambo ya Ex,we piga CCM mbere Kwa mbere in Magufuli voice 🤣
 
Anarudi wapi?
Hivi ulishawahi kuangalia Titanic zaidi ya mara Moja?Hamna kinachobadilika meli lazima izame,Jack lazima afe,na rose abaki mpweke!achana na mambo ya Ex,we piga CCM mbere Kwa mbere in Magufuli voice 🤣
😂😂😂😂Umeanza kutuvuruga ubongo sasa swala la jack kufa kwenye meli iliyo zama na CCM mbele kwa mbele vinaingiliana vp huu sini muhaho jmn
 
😂😂😂😂Umeanza kutuvuruga ubongo sasa sawa la jack kufa kwenye meli iliyo zama na CCM mbele kwa mbele vinaingiliana vp huu sini muhaho jmn
We bado yanki Huwezi kuelewa lugha zetu malegendary tuko duniani tangu nduli Idd Amini hajafurushwa na Nyerere...hiyo comment ataelewa ERoni
 
Pole sana mkuu labda alopitaga kwenye uzi wa kula tunda kimasihara
 
Back
Top Bottom