JF ilivyoua huba langu

JF ilivyoua huba langu

Nikikuta app ya badoo au tinder kwenye simu sweetheart hilo dogo,bt nikikuta ana jf?I will start drama throwing things and stuffs,.swali la kwanza mzabzab unamjua??..namuacha
 
Nikikuta app ya badoo au tinder kwenye simu sweetheart hilo dogo,bt nikikuta ana jf?I will start drama throwing things and stuffs,.swali la kwanza mzabzab unamjua??..namuacha
🤣🤣Halafu nyie mnajua huyo mzabzab ni mbwembwe tu?huyo ni mtu safi kabisaa sema makuzi mengi..
 
Anarudi wapi?
Hivi ulishawahi kuangalia Titanic zaidi ya mara Moja?Hamna kinachobadilika meli lazima izame,Jack lazima afe,na rose abaki mpweke!achana na mambo ya Ex,we piga CCM mbere Kwa mbere in Magufuli voice 🤣
Nipo hapa nasikilizia tu, yaani kashajua na ID mpya, yangu macho..atarudisha majeshi na kazi itakuwa moja tu🤣🤣
 
Back
Top Bottom