ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Nakutania mkuu, unaweza kufunga pm ukitaka, ila sio lazima coz ukifunga na mtu(mimi 🤪) anataka kuongea na wewe private inakuwa ngumu kukufikia.Mmh serious?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakutania mkuu, unaweza kufunga pm ukitaka, ila sio lazima coz ukifunga na mtu(mimi 🤪) anataka kuongea na wewe private inakuwa ngumu kukufikia.Mmh serious?
Jibu murua kabisa, tunatunza kumbukumbu za vitu vya hovyo, 🤣Ulifanya research 😁😁
Ok hapo sawaNakutania mkuu, unaweza kufunga pm ukitaka, ila sio lazima coz ukifunga na mtu(mimi 🤪) anataka kuongea na wewe private inakuwa ngumu kukufikia.
Hivi eenh??Ndio asili ya mwanadamu
Sahihi kabisa mkuu!Kabisaa,tenda jambo Jema la hekima na busara linasahaulika haraka ila Sasa kunywa pombe vua nguo hadharani hili hawasahau ng'o😁
Ila wewe sinilikuita,😂😂🤣🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo na wewe unamwamini?work up!
Kule nilipo kuandikia hivi📥Sijaona wapi?
Una uhakika mimi na Adam tunalingana maarifa na Imani?Kama huyo Adam alishindwa kumjua Hawa huko bustanini we ni nani? Huwezi kumjua mwanamke braza
Kama ni hivyo, ujue na mambo yetu ni tofauti na waoWamewazidi kila kitu Hadi dhambi.
😂😂😂😂😎Una uhakika mimi na Adam tunalingana maarifa na Imani?
Au Eva na mke wangu wanalingana maarifa na uelewa?
Na kwako piaKila lenye Heri kwenu
🤣🤣🤣😄Likawe lenye heri kabisaKila lenye Heri kwenu