Madam vivian original
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 503
- 997
Wakuu habar za masiku. Mko poa, nimewamiss sna.
Twende kwenye point Je famii forom imekusaidia nn tangu uijue, ni ukweli usiopingika hakuna social network ambayo inapendwa na inayotizamwa na watu wengi kama JF.
Mm binafs kilichofanya nijiunge humu ni michango ya watu, kuna watu walikua wanaiinsipire sna, yaan hakuna kitu utagoogle ambacho JF hawajakijadili na kuna nondo za Hataree
Nikashawishika kujiunga na mpaka leo nafurahia kuwa member wa JF, ila kwasasa mambo yamebadilika sna, zaman ukitoa hoja itajibiwa vzr na kwa fact, lakin sasa hv kumekua sehemu sio salama sna maana naweza ukapewa jibu mpaka ukalia.
Nakumbuka kuna siku moja kuna member alawah kunijibu vibaya na kunitukana kwenye comment mpaka nililia, nikawa naiogopa JF nikawa naingia kwa kubip na nikiingia naogopa kuchangia mada maana wengine vifua vyetu vyepes hatujazoea tabu na maneno ya kashfa.
Kiukwel JF ilinipatia rafiki mmoja ninae mkumbuka mpaka Leo, niliwah kutoa post kuhusu KCMC na mambo ya bima ya afya, basi doctor mmoja alikoment na akanisaidia akaniconect na doctor mwenzake yupo KCMC kwa kweli nilifurah sna.
Baada ya hapo yule doctor akawa rafik angu na tukatumiana PC, akafurah kunijua namm pia nilifurah sna. Ni rafiki angu sna ila kwa sasa tumepotezana popote ulipo Dr nyak nakusalimia sna rafiki angu.
Je wewe tokea ujiunge na jf umenufaika nayo vp, uliwah kukwazika humu? au kupata furaha humu ndan mpaka ukisikia jf inafungiwa unaumia.
Karibu
Twende kwenye point Je famii forom imekusaidia nn tangu uijue, ni ukweli usiopingika hakuna social network ambayo inapendwa na inayotizamwa na watu wengi kama JF.
Mm binafs kilichofanya nijiunge humu ni michango ya watu, kuna watu walikua wanaiinsipire sna, yaan hakuna kitu utagoogle ambacho JF hawajakijadili na kuna nondo za Hataree
Nikashawishika kujiunga na mpaka leo nafurahia kuwa member wa JF, ila kwasasa mambo yamebadilika sna, zaman ukitoa hoja itajibiwa vzr na kwa fact, lakin sasa hv kumekua sehemu sio salama sna maana naweza ukapewa jibu mpaka ukalia.
Nakumbuka kuna siku moja kuna member alawah kunijibu vibaya na kunitukana kwenye comment mpaka nililia, nikawa naiogopa JF nikawa naingia kwa kubip na nikiingia naogopa kuchangia mada maana wengine vifua vyetu vyepes hatujazoea tabu na maneno ya kashfa.
Kiukwel JF ilinipatia rafiki mmoja ninae mkumbuka mpaka Leo, niliwah kutoa post kuhusu KCMC na mambo ya bima ya afya, basi doctor mmoja alikoment na akanisaidia akaniconect na doctor mwenzake yupo KCMC kwa kweli nilifurah sna.
Baada ya hapo yule doctor akawa rafik angu na tukatumiana PC, akafurah kunijua namm pia nilifurah sna. Ni rafiki angu sna ila kwa sasa tumepotezana popote ulipo Dr nyak nakusalimia sna rafiki angu.
Je wewe tokea ujiunge na jf umenufaika nayo vp, uliwah kukwazika humu? au kupata furaha humu ndan mpaka ukisikia jf inafungiwa unaumia.
Karibu