JF imekusaidia nini tangu uijue?

JF imekusaidia nini tangu uijue?

Nimefahamiana na watu tofauti kupitia bandiko langu la kutafuta kazi lakin katika wote kuna member mmoja hivi amejua kunipigania kwa kweli yaani wewe kaka I umenipambania sana japo sijafanikiwa lakini jitihada zako zinaonekana
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Bila shaka ni Mshana Jr na Mshana Jr 2
[emoji12][emoji12][emoji12] mie JF ni shule pia nimepata marafiki wengi sana humu wengine tulisoma pamoja shule mbali mbali.

Kuna watu humu wana shule kubwa sana lakini humu huwezi kuwagundua hadi upate bahati ya kufahamiana nao kwa karibu.
[emoji3064][emoji15][emoji848][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji23] BAK Sio mimiii[emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji23][emoji23][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
 
JF ni Jamii Forum. Ni Jukwaa la Jamii.

Mada za siasa, uchumi, kijamii na kisayansi zimenijenga kifikra.

Jamii Forum ni kisima Cha fikra. Imenijenga kifikra na kimawazo.

Nimeifahamu Jamii Forum mwaka 2010 wakati ninakaribia kujiunga chuo, na ni wakati ule siasa zimepamba moto JK anatafuta muhula wa pili.

Kimsingi, purukushani za kisiasa za akina Makamba Yusuf, Nappe na wengineo walinifanya kutafuta maarifa zaidi na niliyapata Jamii Forum maana katika mijadala ile, hao wanasiasa waliihusisha Jamii Forum kwamba Kuna watu wanatoa Siri za chama JamiiForum, kwa hiyo pia nikawa na kiu kujua Jamii Forum Ni kitu gani.

Humu nilikutana na watu wenye weledi kifikra Kama vile Kiranga, king kong, miss chaga, @lara1, The bold, Nifah, Everlyn salt, Kongosho, Ben Saanane (RIP), @nappe nnauye, Mshana Jr ASHA dii na wengineo ambao walichambua mambo kwa kina na kuifanya Jamii Forum iheshimike hapa Tanzania na hata nje ya mipaka.

Pongezi kwenu @jamiiforum, Mhariri, na haswa Mello, M kwa kazi nzuri ya kukutanisha Watanzania katika jukwaa moja la mijadala huru.

Kazi kubwa iliyopo Sasa ni kuilinda heshima ya Jamii Forum japo irudi ilipokuwa mwaka 2013 maana humu wachangiaji wenye ueledi na staha wanapungua sana.
Ben Saanane amefariki kwani?
 
imenisaidia kufuga kuku japo wanakula sahizi hawatagi kama mwanzo
 
Dah jf imenisadia Sana Sana ! Last month nilikuja na thread yangu nilivyonufaika tangia nijiunge miaka sita iliyopita !

1,,, nmefanikiwa kufahamiana na big sister mmoja ivi ! Amenisaidia Sana huyu mtu,, kanipa sana connection, amekua Kama ndugu wa damu kabisa , ana moyo wa dhahabu

2,,, kadada flani hivi napenda kukatania Sana , Ni mtu charming, stubborn flani ivi then mrembo ! Anajielewa mno, mjin Mambo mengi ila tunaonana Mara chache chache, tukionana Ni full story , moja bard moja Moto ,,,tunasapotiana Sana !

3,,, mwana mmoja ivi tunaishi mikoa tofauti , huwa tunatembeleana na kusapotiana ama kushauriana Mambo kadhaa, Ni mtu smart Sana , tumekuwa Kama brothers,,,!
Thanks again jf !
 
Nilitamani niwajue wachawi. Tangu kuzaliwa kwanfu sijawahi ona mchawi anjitangaza. Ila kupitia jf ninashukuru nimemjua chawi la wachawi Mshana Jr [emoji23][emoji23] (am joking)
 
Back
Top Bottom