Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Weeeeeee.....Khaaaa kumbe mkuu ni ME,siku zote najuaga KE vile unavyotupia mapishi mbalimbali
Watch back your steps...[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeeeeee.....Khaaaa kumbe mkuu ni ME,siku zote najuaga KE vile unavyotupia mapishi mbalimbali
Tunapikaga mbona......[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaume hawapiki? [emoji44]
Hahaha usikondee bestUkipata wawili, ebu nigaiye mmoja mwana...[emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1316]Weeeeeee.....
Watch back your steps...[emoji23][emoji23][emoji23]
Afrika mashariki ni kweli ila sio kidunia sababu quora ndio inayoongoza kwa kutazamwa na watu wengi.ni ukweli usiopingika hakuna social network ambayo inapendwa na inayotizamwa na watu wengi kama jf.
. Teenager jamaa wa maswali gunia [emoji23]Afrika mashariki ni kweli ila sio kidunia sababu quora ndio inayoongoza kwa kutazamwa na watu wengi.
Yeah Exactly but that issue of dropping out of school wasn't a joke at allCreative thinker, to be able to think outside the box.
[emoji3064][emoji15][emoji848][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji23] BAK Sio mimiii[emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji23][emoji23][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Yeah Exactly but that issue of dropping out of school wasn't a joke at all
then run😀😀u still here??Utopolo tuu
[emoji1787]Freedom of speech in Africathen run[emoji3][emoji3]u still here??
Ben Saanane amefariki kwani?JF ni Jamii Forum. Ni Jukwaa la Jamii.
Mada za siasa, uchumi, kijamii na kisayansi zimenijenga kifikra.
Jamii Forum ni kisima Cha fikra. Imenijenga kifikra na kimawazo.
Nimeifahamu Jamii Forum mwaka 2010 wakati ninakaribia kujiunga chuo, na ni wakati ule siasa zimepamba moto JK anatafuta muhula wa pili.
Kimsingi, purukushani za kisiasa za akina Makamba Yusuf, Nappe na wengineo walinifanya kutafuta maarifa zaidi na niliyapata Jamii Forum maana katika mijadala ile, hao wanasiasa waliihusisha Jamii Forum kwamba Kuna watu wanatoa Siri za chama JamiiForum, kwa hiyo pia nikawa na kiu kujua Jamii Forum Ni kitu gani.
Humu nilikutana na watu wenye weledi kifikra Kama vile Kiranga, king kong, miss chaga, @lara1, The bold, Nifah, Everlyn salt, Kongosho, Ben Saanane (RIP), @nappe nnauye, Mshana Jr ASHA dii na wengineo ambao walichambua mambo kwa kina na kuifanya Jamii Forum iheshimike hapa Tanzania na hata nje ya mipaka.
Pongezi kwenu @jamiiforum, Mhariri, na haswa Mello, M kwa kazi nzuri ya kukutanisha Watanzania katika jukwaa moja la mijadala huru.
Kazi kubwa iliyopo Sasa ni kuilinda heshima ya Jamii Forum japo irudi ilipokuwa mwaka 2013 maana humu wachangiaji wenye ueledi na staha wanapungua sana.
lakin unakubaliana na mawazo yanguDah martinezstavo itakua huyu Dada ni popular humu JF[emoji23][emoji23]
Hapo ni mbele, cjageuka nyumaIvi madam avatar yako hapo umegeuka kwa mbele au nimuonekano wa nyuma samahan lakini kunakitu nataka kujua
Madam vivian original
Ngumu kumeza [emoji23]lakin unakubaliana na mawazo yangu