monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Hapo unamaanisha Ng'wanapagi na Bibi ya Mshana Jr
Uzur ni kuwa qummer na Libolo fc haziozi!
Uzur ni kuwa qummer na Libolo fc haziozi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm na hisi ni wwHahahhahahahahha alafu unanisingizia mm mwenyewe mtoa code[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MmmhCode nyepes sana hii!
Kidume hapo ni yule Simba wa Bynz!
Ibadili kwa kisukuma!
Mganga maarufu ni yule mwenye jina linaloanzia na M na kuishia na R!!
Location: Shelui SingidaWanakamatiiii Jaman jaman Jf kumbe nzito kiasi hiki poooh mmenishinda kwa kweli yani nimewashiba agagaaa!
Nasikia yule member maarufu ako na I'd yenye kutamka kwa uzito kama jiwe la kg 125 .
Na nyie vichwa vyenu vizito kama nini si yule ambaye I'd yake unaitamka kisukuma jaman yani lazima uitamke kisukuma[emoji4][emoji4]
Yani wanakamati wagumu nyiee[emoji28]
Bwana bwana nasikia alikwea pipa la Auric huyoo mpaka nyanda za juu kusini kwenye 5 star hotel na yule bi mwafundenge. Chiii mnachosha jaman kuandika aggggr [emoji39][emoji39][emoji39]
Yule member maarufu anakaa makao makuu nasikia na yeye alikwea basi akapita milima yotee ya Nyanda za juu kusini kwenda kula bata na huyuu mzee wa Kukandamiza hivi bado hamjamjua tu mbna maarufu sana tu humuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasikia wamekaa week nzima wakila bata jaman kweli Jf kichaka cha kizaaa [emoji23][emoji23]Mambo mengi muda mchachee.
Wanakamati bi mwafundenge nasikia ni x wa mganga maarufu Jf chiiii sitak kesi mimi agggggr msinichoshe tusichoshaneee tatizo mavichwa yenu magumu kanyweni supu ya samaki huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawakujua kama wambea tupo kazini bhn si tukaona tu status tsap zinasoma location mojaaa chiiii tukawanyapia nyapiaaa bhn bhna hata tiket zao zimesoma tarehe mojaa aaaag.
Wanajf mtabaki kuwa juuu mawinguniiiiii.
Nyongeza: Demiss siwezi kubaki na umbeya jaman kifua kitapasuka.
Location: Kiomboi Singida.
Madame BeeWewe chamdeko hauna biashara ya biriani hapo Dodoma?.
Wanakamatiiii Jaman jaman Jf kumbe nzito kiasi hiki poooh mmenishinda kwa kweli yani nimewashiba agagaaa!
Nasikia yule member maarufu ako na I'd yenye kutamka kwa uzito kama jiwe la kg 125 .
Na nyie vichwa vyenu vizito kama nini si yule ambaye I'd yake unaitamka kisukuma jaman yani lazima uitamke kisukuma[emoji4][emoji4]
Yani wanakamati wagumu nyiee[emoji28]
Bwana bwana nasikia alikwea pipa la Auric huyoo mpaka nyanda za juu kusini kwenye 5 star hotel na yule bi mwafundenge. Chiii mnachosha jaman kuandika aggggr [emoji39][emoji39][emoji39]
Yule member maarufu anakaa makao makuu nasikia na yeye alikwea basi akapita milima yotee ya Nyanda za juu kusini kwenda kula bata na huyuu mzee wa Kukandamiza hivi bado hamjamjua tu mbna maarufu sana tu humuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasikia wamekaa week nzima wakila bata jaman kweli Jf kichaka cha kizaaa [emoji23][emoji23]Mambo mengi muda mchachee.
Wanakamati bi mwafundenge nasikia ni x wa mganga maarufu Jf chiiii sitak kesi mimi agggggr msinichoshe tusichoshaneee tatizo mavichwa yenu magumu kanyweni supu ya samaki huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawakujua kama wambea tupo kazini bhn si tukaona tu status tsap zinasoma location mojaaa chiiii tukawanyapia nyapiaaa bhn bhna hata tiket zao zimesoma tarehe mojaa aaaag.
Wanajf mtabaki kuwa juuu mawinguniiiiii.
Nyongeza: Demiss siwezi kubaki na umbeya jaman kifua kitapasuka.
Location: Kiomboi Singida.
AiseeDadaake ujue hupendezei na haya mambo!!hebu Acha bwana.Mwachie warumi na mtanashati
Sent using Jamii Forums mobile app